Hapa anaedanganya ni wewe seif hakusema yeye ndie rais mteule na wala hakusema kuwa tume imtangaze mshindi alieshinda kwa mujibu wa fomu zilizopatikana majimboni.. Ngoma usioijua isikupe mshawasha
Mkuu kikatiba sheni hana uwezo wa kumfukuza maalim seif kazi ya umakamo hata kama hataki aendelee.. Pia maalim seif hakujitangaza kuwa ndie rais mteule wa zanzibar bali alitoa takwimu zake za kura alizopata ktk vituo vya kupigia kura na kuiomba tume itangaze mshindi.. Alieanza kumtangaza maalim...
Maalim seif hawezi kuvunja muungano na hana nia ya kufanya hivo..na mara nyingi tu amekua akilisisitiza hilo ila anachotaka yeye ni kuwa na muungano wa usawa na wa kuheshimiana ktk maamlaka ,muungano ambao kila mtu atakua na uwezo wake kimaamuzi na kuendesha nchi yake sio huu wa kibabe.. CCM...
Mume Wa aina hio hakuna labda umuumbe mwenyeo....WaPo wanaoweza kukubali masharti yako kabla ya kuoana ila mukiwa kwenye ndoa hayo masharti yako anayatengua yote....wanawake wengi hawapendi ndugu wala wazee Wa mume... Mna roho mbaya
Kwanza kwa tatizo lako la polycystic ovarian syndromes nadhani ungefatilia zaidi nadhani huenda utanikiwa kupata mtoto... Nasema hivo kwasababu mke wangu mm anatatizo kama lako, alikua mnyonge sana ila tulienda kumuona daktari wa kina mama... Baada ya miezi mitatu alipata ujauzito. Na sasa...
Tatizo la wake zetu wengi Wa kibongo ikiwa shida ipo upande Wa mume hususan wazazi Wa mume hua hajali sana lakini tatizo likiwa upande Wa kwao. Utamuona tu anavohangaika....na ukitaka kujua hilo chukua burungutu la pesa mkononi kisha mwambie mke wangu pesa hizi nampelekea mama...utamuona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.