Mimi tangu juzi nimetuma pesa kupitia mpesa kwenda TCU na sms ya uthibitisho kutoka Vodacom ikaja kuwa ile pesa imeeenda TCU lakini sijatumiwa voucher number hadi leo kutoka TCU.
Nnimewapigia vodacom wanasema wao pesa washatuma kwenda tcu ko wakanipa namba za TCU ili niwapigie TCU lakin ile namba waliyonipa haipatikan na pesa ishaenda.
Nifanyeje?
Naomba msaada kwa anaefahamu.
Nnimewapigia vodacom wanasema wao pesa washatuma kwenda tcu ko wakanipa namba za TCU ili niwapigie TCU lakin ile namba waliyonipa haipatikan na pesa ishaenda.
Nifanyeje?
Naomba msaada kwa anaefahamu.