Zanzibar kumetokea nini hivi punde?

Zanzibar kumetokea nini hivi punde?

Hakuna ukweli wowote juu ya taarifa hio mimi ndio niko huku .. Bado vijana wamejiinamia hawaamini kilichotokea
 
Natamani kushangilia lakini habari bado haijakaa kiutamu.
 
Niko kariakoo hapa Dar, kumetokea shangwe kubwa sana kwa na mji kuzizima!
Ni shangwe yenye kuashiria jambo la kher!
Kuna wengine wanasema cuf wamepewa ushindi,
Wengine wanasema uamuzi kufanyika j3 wa uchaguz kurudiwa au mshindi kukabidhiwa ushind wake!!

Mwenye taarifa kamili naomba atupie hapa pls!!!

ImageUploadedByJamiiForums1446308767.756713.jpg
 
Niko kariakoo hapa Dar, kumetokea shangwe kubwa sana kwa na mji kuzizima!
Ni shangwe yenye kuashiria jambo la kher!
Kuna wengine wanasema cuf wamepewa ushindi,
Wengine wanasema uamuzi kufanyika j3 wa uchaguz kurudiwa au mshindi kukabidhiwa ushind wake!!

Mwenye taarifa kamili naomba atupie hapa pls!!!

Uongo mtupu huku ni vifaru magari ya kiajabu ya kijeshi majeshi kila kona kila pembe nadhan ccm wamekodi majeshi hali nimbaya tumezingirwa kila kona
 
Malisa angeposti hiyo kitu leo ningeiona... huyu jamaa haropokagi!!!! Hii si ya leo!!!
 
hapo ni mkoani Pemba majeshi tokea jana usiku yanamiminika Pemba, jana kwenye saa 10 alfajiri walizima ueme wakapitisha vifaru na mzinga mikubwa hii picha ni ya hivi jioni Mkoani Pemba
 

Attachments

  • IMG-20151031-WA0018.jpg
    IMG-20151031-WA0018.jpg
    50.4 KB · Views: 186
hii ndio hali ya Zanzibar usiku wa kucha hadi ivi jioni. hapa ni Pemba Mkoani

attachment.php
 

Attachments

  • IMG-20151031-WA0012.jpg
    IMG-20151031-WA0012.jpg
    48.2 KB · Views: 388
Ccm imesema imekubaliana na uamuzi wa kurudia uchaguzi zenji
 
Nani alikwambia nch iko msibani??Hapa KAZI TU MABADLIKO MPELEKEE KINYONGA..SISI TUNASONGA MBELE!
 
Ccm imesema imekubaliana na uamuzi wa kurudia uchaguzi zenji

Ccm kukubali kurudia uchaguzi nayo ni habar???
Wao ndio wamefuta uchaguz waje kivingine kwa uchaguz ujao!!
Leo ulete habar hiyo kama ni habar ya furaha kwa wana UKAWA????
 
Naomba kama kuna mtu anafahamu forum nyingine zaidi ya hii Jamii aniambie,maana hij sasa hivi inaboa kila picha hazionekani nahc kama moderators ni lumumba boys
 
Back
Top Bottom