ubinafsi,kukosa busara na UK atoto vinakusumbua,ndoa au familia ni zaidi ya uijuavyo,hiyo misimamo upande wa pili ukiisimamia hakika dunia itazidi kuwa uwanja wa vita
Na inafufuliwa kila siku yaani japo nilishaiconclude!!
Hahaa inagusa mno maslahi ya watu
Kumbe na wewe umeitoa mahali....Yaani,wakutukana hayaaaaa, wa kukashifu hayaaaaa,wa kushauri hayaaa!! Ila ukiangalia kwa ujumla negative response ndio kubwa, i wish ningejua origin yake napo nikasome comments zilizoandikwa huko nichekeeee!
Sanaaaaa!! Kwani uajabu wake nini?
Hahahaaaaa!! Nimeitoa kichwani bwana, unataka uharibu mada!!
Hahahaaaaa!! Duuh we nawe unajua kunifumania jamani, haujalala tu!!
Na ninavowa disvalue wanawake hata nikiwa icu nikisikia nimepona kwa hela ya mwanamke sikubali nairudisha
Endelea tu na kamsimamo kako kazuri uko sawa kabisa kama mwanamke na tutazifunua sana tu, ngoja niendelee kutunisha account yangu