Recent content by Salia Mdavadi

  1. Salia Mdavadi

    Maoni ya wanasiasa mbalimbali juu ya kujiuzulu ubunge wa Kinondoni, Said Mtulya

    Hivi kweli mtu aliyetumia gharama nyingi kuomba kura Leo anajihudhuri kilaisi hivi Anaacha mshahara wa million 22 hii nipamoja posho zao na dereva wake unaacha eti kwa kisa cha kuunga mkono juhudi za Rais Kwa mwenye akili lazima ufikirie kwanza
  2. Salia Mdavadi

    MICHEZO YA SHIMMUTA

    Habari za jion wajemani Kuna michezo ya taasisi za umma na makampuni binafsi yana itwa Shimmuta Hii michezo imefunikwa na rushwa sana yaani viongozi wake ni nirushwa tu kira wanachofanya Tunaomba TAKUKURU wamurike hiki chama Maana sasa kimekuwa shida kubwa hasa kwa kipindi hiki ambacho michezo...
  3. Salia Mdavadi

    Je, Rais Magufuli anaizika kaburini CCM?

    Naomba kujua Likizo ya Ndugu Kinana inaisha lini
  4. Salia Mdavadi

    Dk. Slaa aajiriwa supermarket

    Eti Prof. Anaosha vyombo maneno ya mtu aliyekosa tumaini kujifariji kuwa hata yesu alikula mikate Kama nikazi tu ajefanye Mlimani Cty au ni Professor gani anayeuza supamarket
  5. Salia Mdavadi

    Natafuta mrembo Wa kuspend nae Leo Moro...

    Kachukue Itigi msamvu pale wako kibao tu
  6. Salia Mdavadi

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Morogoro Tumeomba service line nimeshalipia Bank eti tunaambiwa nyaya nishida kwa nini lakini munatunyanyasa hivi wateja wenu
  7. Salia Mdavadi

    Baada ya kushindwa kushindana na Rais Magufuli kwa hoja, upinzani waja na mbinu za kuhujumu uchumi

    Anahoja huyo unaye msema sasa vitu vingine mfikirie ndio muandike Hoja zake nikuteua nakutengua kutisha watu tu
  8. Salia Mdavadi

    .Bsc of human nutrition vs Bsc of Food Science and Technology

    Anaitwa nani maana nadhani atakuwa mwanafunzi wetu asome hiyo ya pili
  9. Salia Mdavadi

    Polisi Morogoro wanakula rushwa kwa wamiliki wa bar

    Ndugu baa ile ukianza tu kwenda upande Wa juu ni nyumba za watu
  10. Salia Mdavadi

    Polisi Morogoro wanakula rushwa kwa wamiliki wa bar

    Habari wakuu, Naomba wasaidizi wa IGP waambiwe kuwa siku hizi police wake wa Morogoro wameanzisha utaratibu mpya, baa hazifungwi tena saa sita. Wanachofanya ni kupita na kuomba bia wakishapewa wana wanawambia wauze mpaka asubuhi. Rushwa ya bia na nyama za kuchoma tu. Baa inaitwa Samakisamaki...
  11. Salia Mdavadi

    Anatafutwa na jeshi la polisi popote alipo toa taarifa kituo chochote cha polisi

    Simu laki sita na hela laki saba juml million moja na laki 3 Unasema donge nono litakuwa kiasi gani jamani?
Back
Top Bottom