Hivi kweli mtu aliyetumia gharama nyingi kuomba kura Leo anajihudhuri kilaisi hivi
Anaacha mshahara wa million 22 hii nipamoja posho zao na dereva wake unaacha eti kwa kisa cha kuunga mkono juhudi za Rais
Kwa mwenye akili lazima ufikirie kwanza
Habari za jion wajemani
Kuna michezo ya taasisi za umma na makampuni binafsi yana itwa Shimmuta
Hii michezo imefunikwa na rushwa sana yaani viongozi wake ni nirushwa tu kira wanachofanya
Tunaomba TAKUKURU wamurike hiki chama
Maana sasa kimekuwa shida kubwa hasa kwa kipindi hiki ambacho michezo...
Eti Prof. Anaosha vyombo maneno ya mtu aliyekosa tumaini kujifariji kuwa hata yesu alikula mikate
Kama nikazi tu ajefanye Mlimani Cty au ni Professor gani anayeuza supamarket
Habari wakuu,
Naomba wasaidizi wa IGP waambiwe kuwa siku hizi police wake wa Morogoro wameanzisha utaratibu mpya, baa hazifungwi tena saa sita.
Wanachofanya ni kupita na kuomba bia wakishapewa wana wanawambia wauze mpaka asubuhi. Rushwa ya bia na nyama za kuchoma tu.
Baa inaitwa Samakisamaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.