Dk. Slaa aajiriwa supermarket

Dk. Slaa aajiriwa supermarket

Kwanini asirudi huku kuendeleza mapambano kwa mkuu wetu sizonje lakini?
 
Hili neno officer huwa mnafikiria ni cheo kikubwa sana kumbe hata mlinzi ni officer. Officer ni kuwa na mamlaka ya kitu Fulani mfano security officer ni kuwa yeye ndie anahusika na ulinzi na ukiambiwa sales officer ni kuwa yeye anahusika na mauzo.
Ni kweli,afisa mtendaji wa kijiji takehome laki 3.haaaa
 
Bora kuosha vyombo kwa wazungu kuliko kuwa mpinzani Wa style ya kinyonga hongera Dk kwa kuamua kuachana siasa uchwara.
 
Hakupata bili 50,aliwekewa kwenye akaunti 2b alivyoenda kuchota akakuta milioni 2!akauliza why akaambiwa aliyeweka 2b anasema alikosea sifuri 3,Dr. alilia sana lakini tayari alishajiuzuru.chezea sisiyem
Aiseeeeee !!!!! Kumbe hata Lipumba kusingiziwa kwamba alipunwa hela na makahaba wa Kigali yaweza kuwa uvumi tu ! Hawa wazee lazima walidhulumiwa , Dr Slaa auze Matikiti kweli jamani ?
 
Eti Prof. Anaosha vyombo maneno ya mtu aliyekosa tumaini kujifariji kuwa hata yesu alikula mikate
Kama nikazi tu ajefanye Mlimani Cty au ni Professor gani anayeuza supamarket
 
Aiseeeeee !!!!! Kumbe hata Lipumba kusingiziwa kwamba alipunwa hela na makahaba wa Kigali yaweza kuwa uvumi tu ! Hawa wazee lazima walidhulumiwa , Dr Slaa auze Matikiti kweli jamani ?
Si matikiti mkuu anauza duka kubwa lililopo Canada
 
Masikini Dokta Slaa ! Alivyokuwa anaheshimika kwa Watanzania wengi mpaka alipokubali kununuliwa (kwa bilioni mbili ambazo sasa hana tena) tusingeamini kamwe kwamba angeporomoka mpaka hapa alipo sasa. Kama analipwa sh elfu 20,000 kwa saa anapokea sh 160,000 kwa siku kama atafanya kazi kwa masaa manane. Kwa mwezi ni shs 4,800,000 wakati hapa alikuwa analipwa shs milioni 12 kwa mwezi, na gari, na nyumba na heshima tele. Hata kama anafanya kazi za ushauri (consultancy) hata hapa nyumbani angeweza kuzipata nyingi tu. Masikini Dr Slaa ! Usaliti haujawahi kumwacha mtu salama
 
...we sasa mbona unashupaa kumtetea babu...au we ndie yeye....kuwa Na Gari ni common sana Canada Na kwingine nje....ndio maana nasema washamba ndio wanaosema.....yani leo mtu alikuwa mgombea urais kwenye chama kikubwa leo anajisifia kufanya supermarket nje!!!huku kama si kufukia ni nini!...yani ni sawa Na umwone Hashim rungwe leo kuniambia kwenye mtandao kuwa amenunua gari..hata kama ni mpya anapoiongelea tu lazima watu wamshangae...maana kumiliki Gari kwa status yake ni kitu kidogo mno..kuna vitu ukifika level flani huvizungumzii....maana vinatakiwa uwe navyo....Na watu watakushangaa kama huna....

Naona una bifu na mzee wa watu. Amekuambia yeye ana kazi (sales advisor na siyo sales manager) na pia anafanya consultancy. Mke wake ana scholarship na watoto wanasomeshwa na serikali ya Canada. Kutokana na hayo ameweza kununua gari mbili (Jeep na Dodge). Sasa sioni hapo anatamba na nini. Watanzania mlishasema amehongwa mamilion na CCM-watu wa magazetti wamempiga interview na kaonyesha anavyo fanya kazi na umuhimu wa kazi ukitaka kuishi vizuri ndugu yangu wasema anatamba. Kuishi nje sio wewe peke yako. Kama una ushahidi Dr. anadanganya au kafulia uweke hapa, sasa kama gari ni common kuna tatizo gani?
 
Hahahahahaa! Punguza ukali wa nenoz! Sema amekuwa "Mkurugenzi mtendaji" wa duka!
Eti "Managing Director" wa frame la Duka Canada! Hahahaha..Sina mbavu 🙂🙂🙂...
Toka kugombea urais mpaka kuwa MG si mchezo!
Lakini, seriously Dr. Slaa angerudi alime tu kama Mzee wa Msoga, this is beneath mkuu..
 
...we sasa mbona unashupaa kumtetea babu...au we ndie yeye....kuwa Na Gari ni common sana Canada Na kwingine nje....ndio maana nasema washamba ndio wanaosema.....yani leo mtu alikuwa mgombea urais kwenye chama kikubwa leo anajisifia kufanya supermarket nje!!!huku kama si kufukia ni nini!...yani ni sawa Na umwone Hashim rungwe leo kuniambia kwenye mtandao kuwa amenunua gari..hata kama ni mpya anapoiongelea tu lazima watu wamshangae...maana kumiliki Gari kwa status yake ni kitu kidogo mno..kuna vitu ukifika level flani huvizungumzii....maana vinatakiwa uwe navyo....Na watu watakushangaa kama huna....
Gazeti ndo limefanya nae mazungumzo-kwa hiyo ulitaka asijibu maswali yao? Sioni hata mahali alipojisifia-sioni lugha hiyo kwenye majibu yake.
 
Kupanga ni kuchagua na viceversa is true hata hivyo heading ya Uzi ingesomeka Hivi;
"KUPANDA NA KUSHUKA KWA DKT.W.SLAA"
 
Lissu amepigwa risasi kwa sababu ya siasa...who care mpak sa hv? Ni heri sa hv yupo hai angekuwa maiti sa hv angelikuwa anaoza kaburini na mvua zikinyeshea kaburi... Na maisha yangeendelea kama kawa mtaani..at the same tym mbowe akila bata na sepenga...dr slaa alitaka kwa gharama yeyte ile lazima chama kisiwe na kashfa za kipuuzi ili ushinde uchaguzi....kitendo cha kumfukuza zitto mtu aliyekuwa muhimu sana kinadhihirisha namna gan slaa alikuwa amejitoa mhanga....Chadema by any means inakubalika uchagani tuu...ili ushinde uchaguzi hususan uraisi inabidi hoja zako zipenye ngome ya makabila mengi nchi nzima na hapa ndo slaa alikuwa akipambana ili atoboe...slaa alijua wananchi wameichoka CCM na walihitaji chama mbadala, na alijitahd madhaifu ya CCM yasitokee chadema ili chama kiaminike..tatizo elimu duni ya mbowe na ujanja wa ktaa with poor political strategy...kwa vijicent vya lowasa akatema ushauri wa slaa....dr hakuwa na cha kupoteza tena, alijua political is the game of death tena kwa nchi maskini kama tz...unawza ukafa kweny harakat za siasa na kifo chako kisilete impact yyte kwa wananchi hivyo kinakuwa kifo cha kipumbavu..ni heri kusepa na kulinda uhai wako safely ughaibuni....na Magufhuli atapita 2020 kwa kasi ya 4G..hakuna hoja yenye mashiko itakayotingisha namba ya waliompigia kura...mbali na changamoto zake hakuna mbadala sahihi wa CCM...walioiletea tabu CCM kias cha kutoaminika tena ndo waliopo chadema....Tukiachana na wapiga kura wa mitandaoni na waliopo america kama mange
 
..anaposema anafanya kazi kwa mikono yake si kujisifia??..kuna mtu asiyefanya kazi kwa mikono yake?....we hilo hulioni kwa kuwa na mahaba ya kijinga kwake..ama upeo wako wa kusoma between the lines ni mdogo....

Gazeti ndo limefanya nae mazungumzo-kwa hiyo ulitaka asijibu maswali yao? Sioni hata mahali alipojisifia-sioni lugha hiyo kwenye majibu yake.
 
Habari ya maisha ya sasa ya Dr. Slaa huko Canada nailinganisha na kijana ambaye ameenda kumtambulisha binti nyumbani kwao kama mchumba. Huyu kijana ni mtanashati sana, lakini binti anayemtambulisha kama mchumba wake kwa wazazi wake ana sura mbaya kana kwamba ni mtoto wa Dr. Remmy Ongala. Baada ya kumtambulisha kwa wazazi wake na kuona wazazi wake hawajafurahia sana, kijana anaona awape nyongeza ya sifa za huyo mchumba wake. Anawaambia wazazi wake "msimuone hivyo, ni mwanasheria msomi na wakili wa mahakama kuu"!

Hii ndiyo hadithi ya Dr. Slaa. Anataka tuamini kwamba ni sawa kwa mtu ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa chama kikuu cha upinzani na mgombea urais mwaka 2010 aliyemtoa jasho Kikwete eti ni sawa tu akawa Sales Officer (hata angekuwa Sales Director!) wa Supermarket chains!! Anatuhakikishia kwamba anachofanya ni sawa kwakuwa sasa anamiliki magari ya kifahari kama Jeep na Dodge!! Tena hakuna anayemuuliza kama kayanunua au ni mkopo ambao atalipa kwa miaka kadhaa!!

Kuna wanaosema kuwa ni sawa kwasababu anapata 'mamilioni'. This is not about how much he earns per moon! This guy could have been our president in 2010 if it wasn't for dirty political machinations! Hata hivyo mnajua hayo mamilion yanavyotumika huko ulaya? Unajua bei ya mswaki huko Canada? Mnajua ana bill ngapi za kulipa kwa mwezi? Kama analipwa mamilion, kwanini alazimike kufanya kazi zaid ya moja?

Le Mutuz ni testimony nzuri ya watu wanaoishi majuu, pamoja na kuwa na priviledge ambazo vijana wengi hawana, alirudi bongo na kengele zake tu! Hela anazopata Dr. Slaa zinapitiliza kutoka mfukoni kwenda ktk bills.
 
Back
Top Bottom