Huu ushauri umenifumbua mengi, nimetoka kupigwa mzigo kwa kuingia kichwakichwa kwenye hii biashara bila kuijua kiundani, hii biashara inataka kuijua na kuwa mvumilivu ndio utaona matunda yake
Kwa kuwa hatujui Nani atatangulia. Labda sasa iwe Kama salamu tu. Mtu akikupa R. I. P, umjibu na kwako pia au kwa mipango ya Mungu. Kifo hakina kanuni nani atangulie, kuna watu wamezika wajukuu,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.