Nnayo nauza bado kali haijaguswa engenUsed ya Honda CB 400 unaweza kupata kuanzia million 7 ila CB 250 hata million 5 unapata matoleo ya 2004 kushuka chini ambazo zilikuwa zina mfumo wa Carburetor.
Hizo bike ni kama gari maana zina 4 cylinder na ni liquid cooled (rejeta ya kupozea injini.
Dar Kuna moja dogo wa Kihindi ana CB 400 nadhani imefungwa Arkapovic Exhaust maana usiku akiwa anatoka Kariakoo, Magomeni lazima usikie engine roaming na huwa anapiga route mpaka Mbezi Africana.
CB400 Iko vizuri sana na Ina nguvu Sana. Mwaka huu nimekutana nazo mbili mpya moja Posta na nyingine Tazara pale Renault Truck.
Unauza Bei GaniNnayo nauza bado kali haijaguswa engen
Hii inanishawishi, hivi TV's na boxer hawana za hivi(ya spring moja)?
Hizi zinapatikanaje kwa tz na bei za used zipoje ili tupime urefu wa kamba zetu?
we kama una 2.8m ingia shop nunua ustafute hata specification hio haojue ni moto mwingineHellow, khabar za saiz wakuu,,,
Naomba kujua ghalama zote (kuanzia cost za kununua, bima etc) za hii chombo. (Haojue EH 150) na mwenye specification zake View attachment 2355067
hunter inahtaji service kwa wakati ila nayo ni bonge ya mashine kwa wapenda speed unajikuta mtaroni kama sio mzoefu wa pikipiki nyepesi.Wazee nlikua naulizia Ubora wa Hunter 150 kwa weny uzoefu na piki piki
Asante kwa Ushaurwe kama una 2.8m ingia shop nunua ustafute hata specification hio haojue ni moto mwingine
Used au Mpya?Hili mashine bei gani