MJADALA: Je, Pikipiki gani ni bora kwa matumizi ya nyumbani au biashara kwa Tanzania?

Nimeipenda hii, ushauri kwa mwenye uzoefu

Screenshot_20220204-172859_Chrome.jpg
 
Used ya Honda CB 400 unaweza kupata kuanzia million 7 ila CB 250 hata million 5 unapata matoleo ya 2004 kushuka chini ambazo zilikuwa zina mfumo wa Carburetor.

Hizo bike ni kama gari maana zina 4 cylinder na ni liquid cooled (rejeta ya kupozea injini.

Dar Kuna moja dogo wa Kihindi ana CB 400 nadhani imefungwa Arkapovic Exhaust maana usiku akiwa anatoka Kariakoo, Magomeni lazima usikie engine roaming na huwa anapiga route mpaka Mbezi Africana.

CB400 Iko vizuri sana na Ina nguvu Sana. Mwaka huu nimekutana nazo mbili mpya moja Posta na nyingine Tazara pale Renault Truck.
Nnayo nauza bado kali haijaguswa engen
 
Wahindi wana sports bike kali sana sijui kama bongo zinapatikana
1. N160/200 Pulsar
2. Avenger 220 Cruise Bike. Atakayepata one of the 2 hatajutia picha chini
 
Hellow, khabar za saiz wakuu,,,
Naomba kujua ghalama zote (kuanzia cost za kununua, bima etc) za hii chombo. (Haojue EH 150) na mwenye specification zake
images%20(20).jpg
 
Hili mashine bei gani
Used au Mpya?

Used = weka mfukoni 5 to 9m (ndio uanze isaka)

Mpya = Sijui kama zipo ila usiahangaike tafuta mpya kama mfukoni huna 20m (twenty m)

Hizo sio beei halisi ila kama unaitaka hiyo mashine nzuri hiyo ndio bei elekezii yakitaa inaweza kuzidi hapo au kupungua.. Hasa kwa Used. Kwa mpya ujishike.
 
Back
Top Bottom