Naskitika sana television ya Taifa TBC kwenye dstv mara mnapotea mara mnarudi nashindwa kuelewa kweli mmejipanga kurusha matangazo yenu kimataifa ama bado mpo kwenye majaribio? Kasheshe ni pale wakati wa usomwaji wa taarifa za habari. Clips mmezirekodi siku hiyohiyo lakini zinagoma kucheza ina...
Sio ubungo tuu, pita barabara ya airpot pale TAZARA utashangaa utakacholetewa dirishani mwa gari yako kama uko peke yako. Mimi nikiwa shahidi niliwahi letewa kwenye kioo cha gari yangu tena akaniambia eti ni ya kiswahili kacheza Ray C dah
Mimi nashindwa kuelewa kwakweli... Jamani watanzania wenzangu tupo nyuma sana kwa mambo mengi hebu tujenge taifa letu kimeo japo liwe zuri kidogo tuna mambo mengi haya ambo ya migomo migomo hayatotusaidia lolote.. Haya ni mawazo maskini kwa mtazamo wangu na fikra pevu ni kuwaza jinsi...
afya ni jambo la msingi sana lakini kwa maisha ya sasa bila chapaa afya yako haina maana ndo maana wengi wameamua kujikita zaidi katika kazi kiliko mambo mengine kabisa
Hivi kuna mazoezi ya uume? I mean unaufanyia mazoezi ila unapokuwa ktk mapenzi sio ndani ya dk 2 umemaliza. Kwa mtu mwenye tatizo kama hilo mnamshaurije?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.