Naomba kujua

Sala

Member
Apr 21, 2012
22
2
Hivi kuna mazoezi ya uume? I mean unaufanyia mazoezi ila unapokuwa ktk mapenzi sio ndani ya dk 2 umemaliza. Kwa mtu mwenye tatizo kama hilo mnamshaurije?
 
Hivi kuna mazoezi ya uume? I mean unaufanyia mazoezi ila unapokuwa ktk mapenzi sio ndani ya dk 2 umemaliza. Kwa mtu mwenye tatizo kama hilo mnamshaurije?
Sala wewe ni ME au KE? nenda kwa wakubwa utafunzwa zoezi la huo mzigo wako na namna ya kuutumia ili uwahi ama uchelewe.
 
Last edited by a moderator:
yapo kaka ..yanaitwa KEGGELLY EXERCISE hata ukihitaji kufahamu yanafanywaje unaweza ukachek hata kwny YOUTUBE jinsi ya kufanya..,ila ngoja nnikupe kidogo jinsi ya kufanya hilo zoezi.,kwny mboo yako chini kuna pumbu baada ya pumbu katikati ya pumbu na ****** au anus kuna mshipa umepita..sasa iyo mishipa inaitwa pobbococytes au pb..cha kufanya ukiamka asubuhi au wkt umebanwa na mkojo usminye huo mshipa kisha fanya kama unauforce mkojo kutoka alafu ucutoe fanya kama unauchezesha.. yan unautoa na na kuurudisha xema uckojoe..,ukimaliza zoez ndio waweza kupissy..fanya mara3 kwa cku utaona mafanikio
 
UPUNGUFU WA NGUVU ZA …………………..
Hii ni awamu ya pili, ingawa sikupata maelezo yoyote ktk ile awamu ya kwanza , kuonyesha matokeo na mabadiliko, ila kwa mtu mmoja tu alipata matokeo mazuri wengine mlikaa kimya. Naanza ;
T umia mchanganyiko maalum wa tende, maziwa ya mbuzi na unga wa hiriki, hii ni zaidi ya Viagra.
1. Chukua kiganja kimoja cha tende, loweka kwenye maziwa ya mbuzi lt moja acha vikae usiku kucha.
2. Koroga mchanganyiko huo siku ya pili hadi upate rangi moja.
3. Weka asali kiasi cha vijiko 3 hadi vinne vikubwa , chukua unga wa hiriki kijiko cha chai changanya pamoja, koroga mchanganyiko huo kwa sana.

Unaweza sasa kuanza kutumia ; kunywa nusu kukombe asubuhi na jioni , utaanza kuona mabadiliko kuanzia siku ya pili ana tatu, endelea kutumia hadi utakapo jihisi uko safi, yaani one kick unavuta mafutaaaaaaaaaaaa hadi dk 25 ndo unabadili gia…………..
 
hiyo rahisi sana nenda kwenye socket ya umeme chukua waya wa umeme wenye moto (live) kisha utukumbukize chooni (choo cha kufurashi) hakikisha kuna umeme unapita kisha uwepekupeku (usivae viatu), kitu cha mwisho kukifanya kujoa (chooni) kama kawaida, fanya hivyo mara moja kwa siku ndani ya week utakuwa fiti
 
hiyo rahisi sana nenda kwenye socket ya umeme chukua waya wa umeme wenye moto (live) kisha utukumbukize chooni (choo cha kufurashi) hakikisha kuna umeme unapita kisha uwepekupeku (usivae viatu), kitu cha mwisho kukifanya kujoa (chooni) kama kawaida, fanya hivyo mara moja kwa siku ndani ya week utakuwa fiti

we muuaji
 
Back
Top Bottom