Wingu
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,318
- 401
Rudi kwenu Moshi mkuu tuachieni mji wetu.
tujuzeni maana huku ofisini sina amani hata kidgo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tujuzeni maana huku ofisini sina amani hata kidgo
wewe ndo wa hovyo,,,,sijui ubaba alokupa nani huenda mtoto umebambikiwa tu mdau,,,,maisha yenyewe yanakupa tension,,,,yaani umeona waislam tu ndo wanaoleta tension nchi hii shwain weeeee
Hawa jamaa eti wanavaa suruali fupi wasichafuke, jamani humu duniani kuna mambo!!! hivi ni mungu gani huyo anayeangalia uchafu wa suruali?
Rudi kwenu Moshi mkuu tuachieni mji wetu.
Rudi kwenu Moshi mkuu tuachieni mji wetu.
Rudi kwenu Moshi mkuu tuachieni mji wetu.
aiseee mkuu leo mkuu wakati nipo kwenye daladala.......msikiti wa kichangani pale magomeni nimeonaaaa watu wamejaaa tokea saa 12....asubuhi ninaisi siku ya leo .....huenda haitaisha vizulii:shock:
eheheheheheeh, sasa utakiona cha mtemakuni, km vip leo lala oficin aisee mangi, ukitoka tu utakutana na kitu chenye ncha kalihahahaha nimetumwa hela kaka
kuweni na amani,jeshi la polisi lipo kwaajili ya kuhakikisha wanadar es salaam wako salama pamoja na mali zao.so hakuna mwenye nguvu zaidi kwa jeshi la polisi ni busara tu imekuwa ikitumika kiasi kwamba baadhi ya watz wamedhani kama wan wana mamlaka zaidi ya jeshi la polisi.
Mungu wetu anakuhusu nini wewe??Hawa jamaa eti wanavaa suruali fupi wasichafuke, jamani humu duniani kuna mambo!!! hivi ni mungu gani huyo anayeangalia uchafu wa suruali?
eheheheheheeh, sasa utakiona cha mtemakuni, km vip leo lala oficin aisee mangi, ukitoka tu utakutana na kitu chenye ncha kali
Mkuu, what happened?....hebu elezea vizuri, haiwezi kufutwa kama ina contents za kutosha na zisizo na shaka.mie nimeleta taharifa uku kinachotokea temeke mods wameifuta thread..leo nchi inaweza kushuudia hatari kubwa.
jeshi la polisi limelala hadi mwenzao ameuwawa huko zanzibar,bado mnasema busara...mnataka afe nani ndio mshituke.?