Mandown
JF-Expert Member
- Apr 8, 2012
- 1,665
- 503
Jana nilikuwa na jamaa zangu naheshimiana nao sana, tunaelekea Kibaha kupitia Morogoro road, kushoto kwangu alikaa mama mtu mzima, ndugu yangu.
Wakati tusubiria foleni iruhusu,wale wamachinga kama kawaida yao, huyu kaja na hiki mara kile.
Balaa lilikuja pale alipokuja muuza CD za filamu mbalimbali na miziki. Nilipo mkatalia, alinionyesha filamu ya ngono! huku akiigiza kuficha watu wasione, lakini yule manam aliiona, kwani niliona attitude yake imebadilika kabisa.
Story zilizokuwa zikiendelea ndani ya gari zilizimika.
Watu waliingiwa kichefu chefu kwa walichokiona.
MAMLAKA HUSIKA HEBU FANYIENI KAZI HILI.
Wakati tusubiria foleni iruhusu,wale wamachinga kama kawaida yao, huyu kaja na hiki mara kile.
Balaa lilikuja pale alipokuja muuza CD za filamu mbalimbali na miziki. Nilipo mkatalia, alinionyesha filamu ya ngono! huku akiigiza kuficha watu wasione, lakini yule manam aliiona, kwani niliona attitude yake imebadilika kabisa.
Story zilizokuwa zikiendelea ndani ya gari zilizimika.
Watu waliingiwa kichefu chefu kwa walichokiona.
MAMLAKA HUSIKA HEBU FANYIENI KAZI HILI.