Recent content by sakafu

  1. S

    CHADEMA jengeni ofisi

    Ofisi za cdm zipo kwenye brain siyo majengo ya kifahari wakati nchi ni masikini. Kujenga gorofa siyo kip
  2. S

    CHADEMA yapongezwa kwa kujenga msikiti

    Ccm ni lini iliwahi kujenga msikiti ful au kanisa. Aaaaah!
  3. S

    Lowassa ndani ya Kigoma

    Kosa lipo wapi kualikwa kwenye fundraising... Ni kiongozi wa kitaifa, stateman.
  4. S

    Ikulu kumchunguza Nyalandu kuhusu uhaini

    Mchezo wa kitoto na Nyalandu wenu... Mwambie atafute umaarufu JF kwa issue zingine...
  5. S

    Hamad Rashid ni mtaji maalum

    Hamada Rashid hawezi kamwe kuwa mtaji wa vita kandamizi dhidi ya uislamu. Ila najua ni mkakati maalumu wa kuigawanya pemba ikose nguvu ya cuf na hapo ndio utakuwa ni mwisho wa nguvu ya CUf Pemba. Chama kipya cha Hamad kitakuwa na nguvu kubwa katika..... lakini bado ana fursa ya kuhamia chadema...
  6. S

    Urais CHADEMA moto 2015: Dk Slaa, Mbowe, Zitto hapatoshi

    Slaa ana nafasi kubwa sana ukilinganisha mbowe na Zitto. Mbowe hawezi kuchagulika, amefikia ukomo wa mafanikio. Zitto angefaa lakini haaminiki hata kidogo na watanzania. Ana maswali mengi ya kujibu kama vile DOWANS, kushabikia udini, Manji, madini. Kwa kifupi Zitto ni political dealer...
  7. S

    mazda familia sports 20

    Ninauza mazda familia sports 20. Bei ni 9.5 milion. Ina cc 1990. Haijawahi kugongwa. Imetembe only 52,863 kilometres.
  8. S

    mazda sports familiy inauzwa.

    Inahitajiwa...
  9. S

    Yaliyojiri uwanja wa NMC - Arusha

    Chama cha fujo tanzania. Chama chenye ajenda ya ufisadi tu tanzania. Chama cha wachaga. Mkishaenzi then what?
  10. S

    Hamad Rashid kuanzisha chama kipya!

    Mmmmmhhhhmmmm
  11. S

    Plan C: Baada ya mazungumzo ya Chadema na JK.

    Mazungumzo baina ya JK na CDM yamepangwa kufanyika wiki ijayo kati ya jumatano hadi Ijumaa. JK anaweza kuhahirisha ku-assent muswada huo baada ya kukutana na CDM, baadaye NCCR, CUF na CCM. Maazimio ya NEC kuhusu kukutana na vyama vyote umekubaliwa na JK. Tayari, Salva ameagizwa kutoa mwaliko...
Back
Top Bottom