Ni kweli walikuwa wqnaendesha mbona inavyosemekana waliiweka pembeni kisha shughuli ndio ikaanza katika pulukushani kumbe wakaiweka kwnye D kapo ndio gari ikaingia kwenye bonde na wte wakafaliki dunia.
Ila co mbaya inzi kafia kwnye kidonda
Ukweli kunamambo ya kushabikia ila kila jambo lifikilie mara 2 na igeuze angali ni ww ingekuwaje baba yko katoeka kwnye mazingira ya sintofaha na unapoenda kushitaki huoni muelekeo wa kushuhulikiwa swala lako tuwe na utu na huluma kwa binadam mwnzio
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.