Mtoa mada Bashite ni nani??Hakuna namna nyingine unaweza kusema,alichofanyiwa Nape baada ya kuthubutu,Waziri kariuki katishika kwa Bashite.
zoezi zima litaonekana la hovyo ikiwa Bashite bado atabaki ofisini.
sasa mawaziri watakuwa waoga WA kuthubutu,hata pale ambapo jamii iliexpect wachukue hatua.
[HASHTAG]#Cheti[/HASHTAG] cha Bashite kihakikiwe#
Shikamooo Bashite!Hakuna namna nyingine unaweza kusema,alichofanyiwa Nape baada ya kuthubutu,Waziri kariuki katishika kwa Bashite.
zoezi zima litaonekana la hovyo ikiwa Bashite bado atabaki ofisini.
sasa mawaziri watakuwa waoga WA kuthubutu,hata pale ambapo jamii iliexpect wachukue hatua.
[HASHTAG]#Cheti[/HASHTAG] cha Bashite kihakikiwe#
Umpigie Huna salioWatumishi WA nchi hii faru John anatubeep tumpigie tafadhali!!!
Watumishi WA nchi hii faru John anatubeep tumpigie tafadhali!!!
Vita dhidi ya Vyeti feki imewalenga wanyonge tu!
Ova
Hao hakuna aliye fail kiasi cha kuamua kutumia jina LA MTU mwingine kutoka kimaisha.Kwa nini huombi vyeti vya mbowe lowasa na sumaye na tundu lisu na mchungaji msigwa Vihakikiwe? Kuanzia vya kuzaliwa?