Recent content by saimile

  1. S

    Nimeshtushwa na huu Utafiti

    Nimecheka sana
  2. S

    Kenya Abdallah Hassan, Katibu Mkuu wa kwanza Muislam Wizara ya Elimu, amefariki

    Historia za namna hii hazitakupa raha maisha yako yote! Kuna historia nzr na za kurithi siyo hizi!! Kila jema!
  3. S

    Wanaume walio ndoani na "holiday ukweni"

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  4. S

    Mbunge wa Jimbo la Siha, Godwin Aloyce Mollel(CHADEMA) ajivua wadhifa huo na kuhamia CCM

    Hivi uchaguzi wa m/kiti wa chama (CDM) ni lini?
  5. S

    Kwanini General Chiwenga Anacheka Na Mfungwa Wake?

    Hivi kule Liberia G.Weah alishinda?
  6. S

    Warembo Humanities UDOM mtanimalizia muwe na huruma na BOOM langu

    Hata ng'ox hakuna cha bure! Cha msingi acha tamaa, hawa watu wapo tu! Halaf na walimu wetu nao wanamuona! Sasa usijesababisha wewe ukaondoka kabla ya kilichokuleta ukamuacha huyo mamba wa mapenzi ambae tayari ameshasomewa mwenzio! Soma upate kazi kijana, wapo wazuri zaidi kama utakuwa kazini!
  7. S

    Tetesi: Wilson Nkambaku anafuata baada ya Nyalandu kuondoka CCM!

    Hapo na.1.Umekosea, Nyalandu kamaliza kitambo sana, hat a hawakukutana pale ilboru!
  8. S

    Tuliosoma Kigoma Sekondari Tukutane hapa..

    Yeah! Zitto alitimuliwa '94 Sent from my SM-G318H using JamiiForums mobile app
  9. S

    Tuliosoma Kigoma Sekondari Tukutane hapa..

    Wewe jamaa nouma sana! Hivi kwanini ulifanya lile tukio la kumzika Kulandea?[emoji13] [emoji13] [emoji13] Sent from my SM-G318H using JamiiForums mobile app
  10. S

    Tuliosoma Kigoma Sekondari Tukutane hapa..

    Nakumbuka '98 vijana wa day, wakiongozwa na Chegge huyu wa 'bongo flavour ' walimzika Mwl. Kulandea akiwa hai kule focal aisee! Chegge naye akili zake zinamtosha! RIP Kulandea. Sent from my SM-G318H using JamiiForums mobile app
  11. S

    Tuliosoma Kigoma Sekondari Tukutane hapa..

    Ndo mimi ila jamaa yangu Hamad ndo alikuwa mpiga soka balaa Sent from my SM-G318H using JamiiForums mobile app
  12. S

    Tuliosoma Kigoma Sekondari Tukutane hapa..

    Sikujua aisee! Thanks Sent from my SM-G318H using JamiiForums mobile app
  13. S

    Tuliosoma Kigoma Sekondari Tukutane hapa..

    Long sana Mimi ni f6 ya kwanza '99 Sent from my SM-G318H using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom