Hata ng'ox hakuna cha bure!
Cha msingi acha tamaa, hawa watu wapo tu!
Halaf na walimu wetu nao wanamuona!
Sasa usijesababisha wewe ukaondoka kabla ya kilichokuleta ukamuacha huyo mamba wa mapenzi ambae tayari ameshasomewa mwenzio!
Soma upate kazi kijana, wapo wazuri zaidi kama utakuwa kazini!
Wewe jamaa nouma sana!
Hivi kwanini ulifanya lile tukio la kumzika Kulandea?[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Sent from my SM-G318H using JamiiForums mobile app
Nakumbuka '98 vijana wa day, wakiongozwa na Chegge huyu wa 'bongo flavour ' walimzika Mwl. Kulandea akiwa hai kule focal aisee!
Chegge naye akili zake zinamtosha!
RIP Kulandea.
Sent from my SM-G318H using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.