Recent content by saichy kinyurura

  1. S

    Diamond anamtumia vibaya Harmonize

    Hatujui Makubaliano Yao But Cyo Kitu Kibaya Mbona David Beckham Anafanya Sana Hayo Matangazo Ya Boxer Au Coz Inamuhusu Mond Ndio Shidaa Chaaa Wabongo Tunamatatizo Sana.
  2. S

    Magufuli: Kama kuna mfanyabiashara aliyenichangia ktk Kampeni, na ajitokeze hadharani!

    Truckdriver Magufuli ni mbumbumbu angetuambia yy ametoa tshs mfukoni mwake kufanyia kampeni? Chama Kimemuambia ni wapi wametoa pesa za kampeni?
  3. S

    CHADEMA na Maajabu ya Musa Leo Bungeni!!

    Le Mutuz utakua lini na sasa hivi umeshafikisha umri wa nusu Karne lkn bado tahira, Lowassa alikua Mwanasheria Mkuu wa Nchi? Na pia jibu lilikua fupi tu kwamba nilijiunga ccm juzi ama jana bac.
  4. S

    Hesabu zambeba Mollel Arusha Mjini

    Jfk Wabongo, Monaban cyo Mshirika ni mfanyakazi wa Lowassa lkn hatapata chochote kwa Arusha Mjini na hiyo ccm yake, vurugu waliziandaa wenyewe ili kumchafulia Lema lkn HAISAIDII LEMA ndio chaguo letu tunamuhitaji mtu anapigania haki yetu bila uoga
  5. S

    Hesabu zambeba Mollel Arusha Mjini

    Sokon 1 huyo Monaban hadi Chadema tulipewa kadi za ccm ili tukampitishe kwenye kura za maoni na akafanikiwa so uxjidanganye eti ndio mtaji wake NOOOOOO.
  6. S

    RPC Arusha, kwanini Lema hachukuliwi hatua?

    Km ni ndugu zako wanafanyiwa hivyo ungeyasema hayo? Ccm na viongozi wote wa usalama wamepanga hayo mauaji kwa upinzani. Km aliyeuwawa angekua ni mfuac wa ccm kauliwa na watu wa Chadema mpaka sasa wangekua wamekamatwa wauwaji wote na Chadema wangekua wanalaaniwa sana na viongozi na vyombo vya...
  7. S

    Kutoka Dodoma: Sherehe za Kilele cha mbio za Mwenge, Rais Kikwete ahutubia

    Nimeckiliza na kumuangalia kupitia tbc 1 ameonyesha wazi hacra zake juu ya upinzani lkn cc ndio wapiga kura na atambue tu hao wazee wao wengi amewatisha kwa kauli yake ya leo na hawataenda kupiga kura wameogopa umewatangazia mwenyewe kutakua na fujo.
  8. S

    Taarifa kutoka JWTZ kuhusu Jenerali Davis Mwamunyange

    Km yuko mzima anaweza kuongea huko aliko ili kuondoa hii cntofahamu.
  9. S

    Lowassa alikimbia nini Karatu?

    Kwani uwanja wa Kwaraa uko wapi ww taahira?
Back
Top Bottom