Hatujui Makubaliano Yao But Cyo Kitu Kibaya Mbona David Beckham Anafanya Sana Hayo Matangazo Ya Boxer Au Coz Inamuhusu Mond Ndio Shidaa Chaaa Wabongo Tunamatatizo Sana.
Le Mutuz utakua lini na sasa hivi umeshafikisha umri wa nusu Karne lkn bado tahira, Lowassa alikua Mwanasheria Mkuu wa Nchi? Na pia jibu lilikua fupi tu kwamba nilijiunga ccm juzi ama jana bac.
Jfk Wabongo, Monaban cyo Mshirika ni mfanyakazi wa Lowassa lkn hatapata chochote kwa Arusha Mjini na hiyo ccm yake, vurugu waliziandaa wenyewe ili kumchafulia Lema lkn HAISAIDII LEMA ndio chaguo letu tunamuhitaji mtu anapigania haki yetu bila uoga
Sokon 1 huyo Monaban hadi Chadema tulipewa kadi za ccm ili tukampitishe kwenye kura za maoni na akafanikiwa so uxjidanganye eti ndio mtaji wake NOOOOOO.
Km ni ndugu zako wanafanyiwa hivyo ungeyasema hayo?
Ccm na viongozi wote wa usalama wamepanga hayo mauaji kwa upinzani.
Km aliyeuwawa angekua ni mfuac wa ccm kauliwa na watu wa Chadema mpaka sasa wangekua wamekamatwa wauwaji wote na Chadema wangekua wanalaaniwa sana na viongozi na vyombo vya...
Nimeckiliza na kumuangalia kupitia tbc 1 ameonyesha wazi hacra zake juu ya upinzani lkn cc ndio wapiga kura na atambue tu hao wazee wao wengi amewatisha kwa kauli yake ya leo na hawataenda kupiga kura wameogopa umewatangazia mwenyewe kutakua na fujo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.