CHADEMA na Maajabu ya Musa Leo Bungeni!!

CHADEMA na Maajabu ya Musa Leo Bungeni!!

Le Mutuz utakua lini na sasa hivi umeshafikisha umri wa nusu Karne lkn bado tahira, Lowassa alikua Mwanasheria Mkuu wa Nchi? Na pia jibu lilikua fupi tu kwamba nilijiunga ccm juzi ama jana bac.
 
Huyo Naibu spika kwanza hana uzalendo wa kweli na nchi yake

Ovaaa
 
Wewe utaendelea kuishi kwa upambe hadi lini? cha msingi siyo Chadema bali wananchi wameupata ukweli na huyo Dr Tuli ameaibika kwa kushindwa kujibu swali moja tu ambalo limejirudia mara mbili, Silinde kammaliza kabisa Tuli wako, ni aibu kubwa kwa ccm.

Na ndio ujijuwe wewe ccm ni kidampa tu zama za familia ya Malecela zimekwisha ndio maana pamoja na kujipendekeza kwako kote hata Udc waliohongwa hadi machangudoa wewe umetoswa, na wenzako kina Tuli wanazidi kupewa ulaji wanatolewa huku wanawekwa huku, wewe utaishia kuwa mkurugenzi wa blog tu. Loser.

Wa kuona aibu ni UKAWA ambao wameshindwa chaguzi zote. Kuanzia urais hadi uspika. CCM tunapaswa kuona aibu au kushangilia? Maana tuna kiti cha uspika...tuna kiti cha naibu spika...na tuna rais. CCM mbele kwa mbele.
 
CHADEMA wanamuogopa sana Dkt Tulia. Kitendo cha wao kumnyima nafasi kuongea ni ushahidi tosha kuwa wanamuogopa vibaya sana.

Maana Dkt Tulia naibu wetu wa spika anasema kwa vifungu...anasema kwa kutaja Ibara...bila kusoma mahali popote pale...mtu wa namna hiyo ni moto wa kuotea mbali! Jitu kama Lissu bila kuwa na katiba...haliwezi kutaja Ibara yoyote ile mpaka asome. Tofauti kabisa na Dr Tulia. Vitu vipo kichwani tu.

Asante Mungu kwa kutupa naibu spika msomi.
We pumba sana aide! Kuweka vitu kichwani ndo kopimo utendaji kazi huko magamban hahahaaaa!
 
CHADEMA wanamuogopa sana Dkt Tulia. Kitendo cha wao kumnyima nafasi kuongea ni ushahidi tosha kuwa wanamuogopa vibaya sana.

Maana Dkt Tulia naibu wetu wa spika anasema kwa vifungu...anasema kwa kutaja Ibara...bila kusoma mahali popote pale...mtu wa namna hiyo ni moto wa kuotea mbali! Jitu kama Lissu bila kuwa na katiba...haliwezi kutaja Ibara yoyote ile mpaka asome. Tofauti kabisa na Dr Tulia. Vitu vipo kichwani tu.

Asante Mungu kwa kutupa naibu spika msomi.

ni msomi ila hana elimu na huyo mungu wako wa serikali batili nahisi ndo anakupa nguvu ya kujivunia nullset ndani cerebellum yako
 
Yaani huyu jamaa ni hasara kweli kwa wazazi wake. Ni aibu sana kwa mtu wa miaka 50 kuwa mweupe hivi. Mungu mkubwa ulikosa ile nafasi ya EALA ungetuaibisha sana watanzania.
 
unapotosha umma! Dr Tulia alichukua gomu ya spika wa bunge akiwa kaimu mwanasheria mkuu wa serikali., na inatakiwa kwa nafasi aliyokuwa nayo asifungamane na itikadi ya chama chochote. Hiyo ndiyo ilikuwa hoja ya wapinzani. Ila ya lowassa na duni mbona hapo hamna uhusiano na hilo la dr tulia.
uwezo wako wa kupambanua mambo ni mdogo na hii inasababishwa na muda mwingi kushinda kwenye mitandao ya kijamii na kuacha kusoma katiba ya nchi pamoja na vitabu vingi tofauti yofauti.
Nashindwa kuelewa hivi ukiwa mshabiki wa chama fulani kila wanachofanya wapinzani wako ni sumu?

- Eti gomu ni nini hasa kwa mfano? hahahahahaha

le Mutuz
 
Mwili mkubwa ni shida kaxi ni kuwaza kula mademu na pombe
 
unapotosha umma! Dr Tulia alichukua gomu ya spika wa bunge akiwa kaimu mwanasheria mkuu wa serikali., na inatakiwa kwa nafasi aliyokuwa nayo asifungamane na itikadi ya chama chochote. Hiyo ndiyo ilikuwa hoja ya wapinzani. Ila ya lowassa na duni mbona hapo hamna uhusiano na hilo la dr tulia.
uwezo wako wa kupambanua mambo ni mdogo na hii inasababishwa na muda mwingi kushinda kwenye mitandao ya kijamii na kuacha kusoma katiba ya nchi pamoja na vitabu vingi tofauti yofauti.
Nashindwa kuelewa hivi ukiwa mshabiki wa chama fulani kila wanachofanya wapinzani wako ni sumu?

Kweli wewe UKAWA...Ukilaza wako ndio umenifanya nijue hivyo kwa haraka...unajua nini maana ya "kaimu"?
 
Huyu ni mfano wa watu wa jimbo la mtera.kwa nini lusibde asiwe mbunge wao wa kudumu.poleni wagogo
 
Kuna kitu fulani cheupe kinakua ndani ya kichwa...kinaitwa ubongo! Unacho?

Kama unacho, alijiunga lini CCM.......yes, unajua Lowassa alijiunga lini CDM!

‪- Lowassa‬ aliingia Chadema saa mbili kamili Asubuhi, ilipofika saa mbili na dakika tano akawa mgombea Urais wa# Chadema.....
,Babu ‪#‎Duni‬ aliingia chadema saa sita na saa sita na nusu alikua mgombea Mwenza na Wote waliingia Chadema Wiki Moja kabla ya Kampeni kuanza,

- Leo Chadema wanamuuliza Dr ‪#‎Tulia‬ Bungeni alijiunga CCM lini? haya ni maajabu ya Musa!!,

KUMBE MZEE MKAPA ANA AKILI SANA, ALISHAWAJUA SIKU NYINGI SANA!!


Le Mutuz Nation
 
Hakika Lemutuz utawakimbiza jukwaani Bavicha....
 
dr. tulia kaulizwa swali zuri lakini kashindwa kujibu. yaani wasomi wetu wengi ni shida...
 
mbona nasikia huyo mleta mada ni mtu mzima sana?
 
Back
Top Bottom