JFK wabongo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 3,887
- 3,200
- Thread starter
- #61
Lema anadi sera na sio porojo atashangaa kapigwa chin mwaka huu sio wa kuchezea
Viongozi, lema sikio la kufa.
Lema anadi sera na sio porojo atashangaa kapigwa chin mwaka huu sio wa kuchezea
sumaye mwenyew anamhujumu lema na lowasa anapambana patner wake monaban aende bungeni tripu hii imekula kwa wapiga domoViongozi, lema sikio la kufa.
Nami nakuuliza, kwanini unatamani iwe Hai au Moshi isiwe Arusha?!
Kwani kura zinapigwa na madiwani?
Mbona unaamini maneno ya mtaani? Kwa kuangalia idadi ya wabunge wa CCM, utagundua kuwa ushindi wa Pombe ni halali kabisa.
Madiwani wa cdm Arusha walisafiria nyota ya lowasa, ambayo sasa imeshazima tayari.
Hizo porojo za kijiweni? Toa hoja kwa nini lema apate ubunge tena?
You are contradicting yourself,
Ushindi wa Magufuli ni dhahiri kwa sababu amepata wabunge wengi.
Ila Lema ambaye chama chake kimepata madiwani 24 kati 25 unasema atashindwa.
Kwa hiyo nguvu ya monaban,maguduli+ ndiyo imezaa kura 60,000 dhidi ya mwenzie aliyepata 150,000?? Na bado unaamini kuwa ni mwendo mzuri?Kama Magufuli alipata kura hizo kwa nguvu ya Monaban, je monaban mwenyewe atapata ngapi?
Sawa sawa, Arusha mjini, CCM imepata madiwani 24, Hongereni CCM jimbo mtalichukua saa mbili asubuhi! Anzeni kufanya karamu!
Nipo dar ila nitakuja kupiga kura arusha