Hao ni dagaa ataje wale Papa wenyewe. Hii biashara ni mtandao tena mtandao sio kitoto.. Pekee yake ataomba poo mwenyewe. Tumeona huko Mexico, Colombia. Haya mambo ni confidential.
Good point. Tena wakati mwingine wanatongozwa na watu wasio wajua wamekutana kwenye mtandao mtu anatoka Dar anamfuata mwanaume mwanza duuuuuh
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Hauna channel inaitwa ABOOD mi naangalia hiyo katika king'amuz cha startime wanaonyesha mechi na ligi nyingi mfano EPL, SERIA A, LEAGUE 1,UEFA, NA EROUPA LEAGUE. nainjoy sana nipo Morogoro
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.