mwakatobepeter5
Senior Member
- Dec 5, 2013
- 131
- 55
Tumia Mobdro 2.0.9 utaenjoi
Tumia Google search engine
Tumia Google search engine
Hauna channel inaitwa ABOOD mi naangalia hiyo katika king'amuz cha startime wanaonyesha mechi na ligi nyingi mfano EPL, SERIA A, LEAGUE 1,UEFA, NA EROUPA LEAGUE. nainjoy sana nipo Morogoromimi natumia star times....jamaa hawa ni wababaishaji tu...hawana channel yoyote inayoonesha AFCON.. ndo maana inabidi niende kibanda umiza kucheki gem...
kuna wakati najutia kununua hiki king'amuzi chao....kiukweli hawatutendei haki wateja wao
Tumeipata ila ni channel gani zinaonyesha AFCON maana nilitafuta Jana sikupata kwa hizi ambazo wanazo. Nikajaribu kusearch channel nyingine zinaonyesha not found katika hiiTumia Mobdro 2.0.9 utaenjoi
Tumia Google search engine
Mwakatopeter5 nimeipata hiyo mobdro channel ya Mpira inapatikana Vipi ni update please
Nashukuru nimefanikiwa kuidownload ila unaweza kupata tv station nyingine zaidi ya hizi walizonazo wao? Mfano mi nataka liverpool tv ila sijaiona kwenye list
tafuta SABC 1Tumeipata ila ni channel gani zinaonyesha AFCON maana nilitafuta Jana sikupata kwa hizi ambazo wanazo. Nikajaribu kusearch channel nyingine zinaonyesha not found katika hii
Pia ni kua mbunifu kama vile remote unapitia pitia kila channel ndio utapata unachotaka hapo sports n nyingi sana aseeMkuu Ukishaidownload Unapofungua inafunguka Kama Hivi ↓↓
Then ingia Hapo Penye alama ya Jamaa anaeendesha Bicycle Ambapo Pameandikwa SPORTS utaziona Dozens Za Channel Za Soka.....
View attachment 461279
Unaweza ukawa na hija nzuri kuhusiana na gharama za juu za dstv ila mfano ulioutumia una walakini kidogo, mashindano ya afcon unaweza pia kuyaona kupitia king'amuzi cha Azam kwa gharama ya 15,000 tu au hata bila ya kulipia kupitia channel ambazo zinaonekana kwenye other channels. Labda ungetolea mfano ligi kuu ya uingeleza nk, ila nakubaliana na weww kuwa dstv wana gharama za juu na kulingana na hali ya sasa ya kiuchumi, ni kweli imepelekea watanzania wwngi kuwa selwctive kwenye kwenye matumizi hususan kwenye mambo ya msingi.Ni kipindi ambacho kwa sasa watanzania wengi nyakati za jioni wamekuwa wakitawanyika katika majumba ya starehe ikiwemo baa na vibandani kushuhudia mashindano ya Afcon yanayoendelea pale nchini Gabon.
Pamoja na hilo, naendelea na utafiti mfupi huku nikiwa na hoja ya msingi kuwa: je watanzania wengi hawana uwezo wa kulipia Dstv kama ambavyo wanaweza kufanya kwa ving'amuzi vya ndani ya nchi?!
Kuondoka kwa Tido startimes na TBC hazina tofauti na channel za uchochoroni..inakuwaje wanashindwa kuonesha AFCONmimi natumia star times....jamaa hawa ni wababaishaji tu...hawana channel yoyote inayoonesha AFCON.. ndo maana inabidi niende kibanda umiza kucheki gem...
kuna wakati najutia kununua hiki king'amuzi chao....kiukweli hawatutendei haki wateja wao
Afcon wanaonyesha Bein sportsYaani zinapatikana Chanel nyingi, sasa ya Mpira wa Afcon ni ipi
Download tu kawaida andika mobdro apk download katk google itakuja
Download tu kawaida andika mobdro apk download katk google itakuja