Kusema ukweli M/Mungu kukataza riba kupitia vitabu vya
vyake hakukosea. Maana mikopo ya riba huwa na laana na iwapo utachukua basi ni mabalaa juu ya mabalaa yatakuandama.
Mwandishi huo uzi wako kuna wengine watapinga lakini mimi nawaambia wajaribu waone na wajiandae kuchanganyikiwa.
Pole Sana. Acid reflux hutibiwa kwa masharti ya mlo. Jaribu pia kupima ili kujua Kama acid reflux imeshaleta vidonda vya tumbo. Maana ninayo dawa ya kutibu moja kwa moja Ulcers.
Ni miongoni mwa dalili za vidonda vya tumbo. Nenda kapime ukiwa navyo nakukaribisha uje upate tiba ya moja kwa moja. Tafuna tangawizi kupunguza gesi na kuweka Sawa mfumo wa usagaji ila Kama utakuwa na vidonda kila siku utakuwa mtu wa hivyo hivyo hadi uviponyeshe kwanza.
Pole Sana Dada. Utapona, unanikumbusha mbali Sana. Nilipokuwa shule nilikuwa na Ulcers tabu yake si mchezo na nilikuwa nabagua vyakula yaani ilifikia kipindi nikila ugali hata wali nasikilizia mziki na shuleni walikuwa wananiita mtoto wa mama kisa nabagua vyakula. Lakini leo hii nami...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.