Mimi ni kijana mdogo tu 20s naishi mpanda nimepata tatizo.
la fungus sugu mdomoni zinazo sababisha ngozi ya lips kukauka na kubanduka kwa takribani miaka 5 sasa nikienda kwa madaktari wanasema tatizo ni dogo sana hata specialist wa ngozi alinipa Vaseline tu kila aina ya dawa nimetumia matokeo ni 0.
Nilizani inaweza kuwa kansa lakini madaktari wote wamekataa katakata, sina kabisa HIV history sina kisukari ila Nina history ya ulcers na yenyewe ilikuja baada ya ili tatizo .tatizo lilianza kama kukauka mdomo tu ,lakini ni kitu nilichokuwa nakipata tangu ni mdogo ila wakati huo lilikuwa too much.
NAOMBENI MSAADA WENU WATALAM NIKIPONA KWA MSAADA WENU MTAKUWA MMENIOKOA
la fungus sugu mdomoni zinazo sababisha ngozi ya lips kukauka na kubanduka kwa takribani miaka 5 sasa nikienda kwa madaktari wanasema tatizo ni dogo sana hata specialist wa ngozi alinipa Vaseline tu kila aina ya dawa nimetumia matokeo ni 0.
Nilizani inaweza kuwa kansa lakini madaktari wote wamekataa katakata, sina kabisa HIV history sina kisukari ila Nina history ya ulcers na yenyewe ilikuja baada ya ili tatizo .tatizo lilianza kama kukauka mdomo tu ,lakini ni kitu nilichokuwa nakipata tangu ni mdogo ila wakati huo lilikuwa too much.
NAOMBENI MSAADA WENU WATALAM NIKIPONA KWA MSAADA WENU MTAKUWA MMENIOKOA