Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 10,293
- 19,508
Nakosa usingizi kipindi nikiwa macho.. Sijui shida nini !!
Kwa kukusaidia tuu, nenda jukwaa la mahusiano uzi wa kwanza kabisa wamechimba sana kuhusu hivo vitu....Habari Doctor,
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 23 tatizo langu ni kuwa uume unasimama kwakulegea hali hii ilitokea baada ya kujichua sana kipindi nipo shule. Hii hali inanitesa sana. Tafadhari naomba msaada nipate kuwa sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuuKwa kukusaidia tuu, nenda jukwaa la mahusiano uzi wa kwanza kabisa wamechimba sana kuhusu hivo vitu....
Nasumbuliwa na chunusi sugu.
Nina umri wa miaka 31.
Nimejaribu kubadiri dawa za tube za kupaka pamoja na sabuni lakn bado chunusi kubwakubwa zinazidi,wengine wanasema labda kuna uchafu kwenye damu!
nimepima vipimo vyote ikiwemo HIV hakuna!
Naomba ushauri..
Natanguliza shukrani!
Pole Sana kaka. Ninayo dawa ya kutibu moja kwa moja na utathibitisha kwenye vipimo pia utatupa mrejesho humu.Very sorry naomba mnisaidie make nasumbuliw na ulcers sasa hatar ni pale nimelala ikifika saa 10 na nusu much pains alfu ikifika saa 12 asubuh zinatulia na ni kila siku hv ni kwa nn inakua hvooo???
Naipataj???Pole Sana kaka. Ninayo dawa ya kutibu moja kwa moja na utathibitisha kwenye vipimo pia utatupa mrejesho humu.
Dawa ya lactolose inatibu NiniNiulize kuhusu dawa yoyote ya binadamu nami ntakujibu!!!!
Kapime homa ya iniHabarini Dr,nmekuwa nikisumbuliwa na maumivu makali ya tumbo chini ya ubavu upande wa kulia nmeenda hospitali kadhaa nimepigwa ultra sound lakn wanasema hamna kitu,huwa naishiwa kupewa dawa za maumivu tuu.Na kuna kipind kinapotea kabsa na muda mwingine kinanirudia yaani hadi ninapoingiza hewa ndani (inhalation) kinaniuma sana.
Nisaidien kwa wanaojua tatzo hilo,