gilberto de rico
Senior Member
- Feb 7, 2019
- 165
- 120
Mimi nina tatizo la tumbo kujaa nahisi digestion haifanyiki vizuri hivyo kuna uchafu umejaa kwenye utumbo mkubwa yaani nimepata kitambi cha madonda ya tumbo.
Mara ya kwanza kabla ya kupata ulcers tumbo lilikuwa dogo sana ila baada ya kuugua hadi sasa tumbo limekua kubwa saana naomba mwenye kujua dawa nayoweza tumia ili niharishe uo uchafu wote anijuze please.
Mara ya kwanza kabla ya kupata ulcers tumbo lilikuwa dogo sana ila baada ya kuugua hadi sasa tumbo limekua kubwa saana naomba mwenye kujua dawa nayoweza tumia ili niharishe uo uchafu wote anijuze please.