Recent content by saadam

  1. S

    Muungano wetu ni imara na atakaechezea nchi hii atakiona cha mtema kuni"...

    Huu ni muungano imara wa kuwanyonya wanzibar tu
  2. S

    Mnyika awatelekeza wananchi wa Ubungo

    Wapeni. Chama cha kaffu
  3. S

    Kagasheki: TRA wanahusika biashara ya meno ya tembo

    Nchi nzuri haina viongozi ccm chukua chako mapema hiyo ndiyo hali halisi mtu yoyote kama una mchongo wako kula tu n ww km hali inaruhusu
  4. S

    Hemed PhD: Mimi siringi, hizi ni swaga tu

    Hii mada bado tu ya joka la kibisa ifuteni tena kuna mambo muhimu ya kuwongea mengine
  5. S

    Natafuta mtu wa kunifanyia massage

    Kama hajapata muhudumu usijali nishaongea na maumba atakutafuta fundi mzuri sana kwa kazi yako
  6. S

    Natafuta mwanaume

    Du kweli kadoda mpaka kaona ajitanganze
  7. S

    Mtoto wa mfalme wa Oman na uwindaji nisioulewa Loliondo

    Kijana kwa hakika sultan kabus hana mke wala mtoto huyo labda mtoto wa mfalme wa nchi nyengine
  8. S

    Tatizo la kuwashwa mwili mara kwa mara- Fahamu chanzo, pata ushauri na tiba ya tatizo hili

    Pole sana nenda ukapime choo ki kubwa na kidogo pamoja na alenji
  9. S

    Natafuta mtu wa kunifanyia massage

    Hamna kitu huyo anawachea akili zenu kipo kitu anatafuta majengo kibao yapo kwa shuhuli hiyo
  10. S

    Je, Mmiliki wa Lake Oil ni nani?

    Mwacheni dogo apete na mzee wake hata ungekuwa wewe kiyongonzi ungejinufaisha wewe kwanza aliye pewa kapewa tu hao wote waliyopita pia nao wako vizuri
  11. S

    Nawashwa sehemu ya haja kubwa

    Kula pia na dawa za minyoo na kuhusu choo kula papai
  12. S

    Sababu ya wanawake kuzuiwa kuendesha magari Saud Arabia

    Soma Qur-an mkuu ipo ilotafsiriwa kwa kiswahili sio kutafuta website ambazo zimeandaliwa kwa makusud kuichafua dini ya Uislam. Kwan hatutafikia lengo la kupata elimu.
  13. S

    Fathima Godabar; Mwanamke anayeongoza kwa uzuri duniani

    Yupo wapi wadau huyu binti nataka kwenda kumposea mwanangu
  14. S

    Jamani nisaidieni nimuoeje huyu dada wa kiislamu

    Kama usemayo ni ya kweli achana nae mwisho wa siku ni matatizo tu yatakuwa raha ya mke mariziyano familiya zote mbili
  15. S

    Nahitaji mume mwema jamani

    Je awe dini gani huyo mume au dini siyo lazima ata ukipata mpagani sawa
Back
Top Bottom