umate umate
Senior Member
- Dec 23, 2013
- 111
- 15
Hakuna sababu ya kumdhihaki huyu mnyika kwani 215 mbali? Asubiri aone habari yake hakuna rangi yake tena itaonekana ubungo jasho na kokote alipo habari hizi kama hana zimfikie kwamba UBUNGO HATOCHAGULIWA TENA SI YEYE WALA MAREHEMU CHAMA CHAKE.
Acha kutisha wananchi nasema hivii hata kama sio Mnyika tutahakikisha jimbo la ubungo upinzani wanachukua sio nyie ma ccm.