Najuta kuwa MTanzania! Je, hii ndio nchi yenye amani? Miundo mbinu mibovu, barabara nyingi za tangy ukoloni ndizo zinazotumika mpaka Leo, hatujui kuna ongezeko kubwa la watu? Hatuna maeneo ya hifadhi za barabara, barabara nyingi hat a zinazounga mikoa ni nyembamba sana, ukiachana name hizo hata...
Hiyo ni tafsiri sahihi kabisa., kwani lengo hasa la kutumia maneno kama tumepoteza., ameaga dunia., hatunae tena.,, lengo hasa hapa ni kupunguza ukali wa maneno (tafsida) na kuonesha ushirikiano kwa lengo la kumfariji mfiwa ama kufarijiana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.