Recent content by rymond Gabriel

  1. rymond Gabriel

    Mapenzi ya vichochoroni

    Huu ndio uhalisia mostly na ni tam hataree
  2. rymond Gabriel

    Jina gani hutaki kulisikia linalokuumiza kimapenzi?

    Ulaniwe Jasmine, huyu mbwa miaka mi2 kanichomesha maindi ahadi nyingi na matumaini yeye ni bikra tumalize shule kwanza nipewe,, Kumaliza tu kaolewa na bwana mwingine saivi kaachika analia turudiane bora niwe na mbuzi cio wewe kafiri mjalaana ulaniwe
  3. rymond Gabriel

    Kuna ubaya kutoa nywele za katikati ya makalio, katika ule mfereji wote?

    Watu humu akili hakuna kabisa mwanzenu anaswali badala mummjibu kazi kuwaza kisengesenge tuu
  4. rymond Gabriel

    Nilichokiona Shinyanga

    Haha asante mkuu umetisha
  5. rymond Gabriel

    SWALI: Mkoa gani Tanzania ni mzuri kwa kuishi?

    Mkuu upo kama mimi yani dodoma siipendii
  6. rymond Gabriel

    Forex training regional tour - mkoa mmoja baada ya mwingine

    Hakuna mtu wakukupa pesa za bure guys fanyeni kazi msitegemee miujiza msiwasahau wale mapadre wa kinondoni waliodesa na pesa za watu,,we mtu akupe 99usd hiv hv tu ni baba yako yeye...?
  7. rymond Gabriel

    Kamanda Mambosasa: Aliyemjeruhi Meja Jenerali mstaafu, Vicent Kariongo kwa risasi auawa

    Sasa nyie munafikiri hao majambazi hawamjui waliokuja kumvamiaa...???
  8. rymond Gabriel

    INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

    Mkuu mambo VP hivi hii washing machine kama hii ninaweza kuitumia commercial.. Maana nilikua na waz niwe na Mashine kama hii niweke eneo MF chuo niwe nawafulia wanafunz kwa bei poa ushauri please maana Cio mzoefu na vipi suala la kukausha pia...
Back
Top Bottom