Ila nashauli pajengwe chuo kikubwa ndani ya hospitali cha mambo ya afya ili kuufungua mji wa musoma katika biashara kwani mji umezorota hauendelei viwanda vyote vilikwisha kufa mfano mutex maisha magumu, Leo hii mji wa musoma unazidiwa hata na singida nafikili hata manyara ya juzi itaupita mkoa...
Mimi mwananchi wa musoma napongeza sana kwa hatua Kali ulizochukua kuindeleza hospitali ya kwangwa iliopo nje kidogo ya mji wa musoma,kwani tangia awamu ya mwl nyerere watu walipiga hela hospitali ikajengwa nusu tangia hapo ilibaki gofu kila mbuge aliekuja alikuja na mbwembwe nyingi kuwa...
Kweli kama mh,raisi anataka nchi isonge inabidi kiwanda cha mutex mwatex, sungura TeX na vingine vianze KAZI kwani vinatoa ajira nyingi kuanzia kwa mkulima hadi mtumishi wa kawaida, pia ajitahidi kuweka vyuo sehem mbalimbali hivo pia vinachangamsha mji na biashara pia, mfano hapa musoma mji...
Mtaongea sana lakini jpm ni very strategic man namkubal pamoja na mapunguf madogo, mfano kuna jengo hapa musoma la hospitali tangia mwalimu hadi Leo halijamalizika watu walikua wanapiga pesa tu lakini Leo linajengwa na TBA wakishirikiana na jkt kitu kinapanda muda si mrefu tutakua na refferal...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.