Kwa anayefahamu kuhusu kilimo cha Mkonge

Kwa anayefahamu kuhusu kilimo cha Mkonge

Ungeelezea unastaw maeneo yapi,pia soko lake lipo wapi, mfan mim nipo musom, nikilima nitauza wapi, pia mahitaji yapi yanatakiwa
 
Naskia wachina wanapiga sana pesa huko kilosa wanalima na Mo Dewji nae kayakamata mashamba kibao.
YAA YUKO TANGA NA KWELI YEYE NDO MZALISHAJI MKUBWA LAKINIPIA YAPO MAKAMPUNI MENGINE KM SFI, KATANI LTD NK.
 
MSOMA MKONGE UNAKUBALI ILA KUTOKANA NA MAZINGIRA INATAKIWA UWE MKULIMA MKUBWA KIASI KWAMBA UWEZE KUNUNUA HATA MASHINE ZA KWAKO MWENYEWE KWA AJIRI YA KUFANYA DECOTICATION KWANI WAKULIMA WA MOROGORO NA TANGA WANATUMIA VIWANDA VINAVYO WAZUNGUKA
 
Ungeelezea unastaw maeneo yapi,pia soko lake lipo wapi, mfan mim nipo musom, nikilima nitauza wapi, pia mahitaji yapi yanatakiwa
MKONGE TANZANIA UNASTAWI ZAIDI KATIKA MIKOA YA TANGA, MOROGORO, KILIMANJARO, SHINYANGA, GEITA MWANZA, MARA, PWANI LINDI NA SIMIYU
 
Mimi pia nina nia ila pakuanzia, breakdown zipoje? Mwenye ABC atusaidie, naogopa kuanza nikaishia kulima mtaji ukaisha. Mimi nina shamba Tanga
 
Mimi pia nina nia ila pakuanzia, breakdown zipoje? Mwenye ABC atusaidie, naogopa kuanza nikaishia kulima mtaji ukaisha. Mimi nina shamba Tanga

Umepata majibu? Nina ekari 50 mkata pale nataka nilime mkonge. Mtaji kiasi gani asee

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom