Viwanda vikubwa 83 na vidogo 240 viko wapi huko kusini??

Viwanda vikubwa 83 na vidogo 240 viko wapi huko kusini??

Tatzo kubwa ulilo nalo ni UGONJWA ambao unakukabili kwa sasa....Unaoitwa UKOVI.....(ukosefu wa viroba)....Hivi kwa akili yako kabsa kati ya wewe na Magufuli nani mwenye full information na nchi hii??....Yeye si mpuuzi kusema hivyo
Una maana Magufuli alikuwa na full information juu ya mwendokasi wa mv.Magumashi na alikuwa na full information kuwa wale wachina wanavua samaki kwenye bahari ya Tanzania?
Tafuta tiba ya Ubashite
 
Viwanda vyote anavyovifungua sasa vilishaanza kazi muda mrefu vinaingizwa kwa nguvu kwenye idadi kwamba vimeanza kwenye awamu yake ya viwanda hii yote ni kutafuta ile tabia anayosemekana anayo,maana mkuu aliepita angekuwa anafanya kama hivi basi angejitangaza amefungua viwanda milioni katika kipindi chake cha miaka kumi.
awamu hii nafikiri viwanda vingi vitafungwa kwa kukosa biashara na wafanyabiashara watashindwa kuanzisha viwanda kasababu ya sera haziko stable mfano ni viwanda vya viroba,vilikuwa vinafanyakazi vikifuata taratibu zote za serikali lakini kwa tamko tu ndani ya wiki viwanda vinafungwa bila kujali gharama za uwekezaji zilizotumika hivyo kipindi hiki ni risk kuanzisha biashara yoyote nadhni kuna wafanyabiashara watatulia kwanza waangalie upepo mpaka pale hali itakapokuwa stable ndio maana viwanda vingi vitakavyofunguliwa sasahivi si vipya.
Hawa ndio walizindua UDART halaf wakazindua tena
 
Hawa ndio walizindua UDART halaf wakazindua tena
yani awamu hii mambo ni vululuvululu tu,na huyo DANGOTE kama uwekezaji ule ungekuwa ni kama DUKA kwa figisufigisu zile alizopitia angeshafunga duka na kukusanya kilicho chake akaondoka zake zamaani,sema ndo anabaki hana jinsi akifikiria gharama alizotumia.
 
Kiwanda cha bakhresa mkuranga
Kiwanda cha pamba bariadi
Kiwanda cha vinywaji baridi shinyanga
Kiwanda cha vigae mkuranga
Kiwanda cha chuma mkuranga
Kiwanda cha vigae chalinze
Kiwanda cha cement tanga amboni na vingine vingi
SERIKALI IMEJENGA KIPI KWENYE HIVYO
 
Tatzo kubwa ulilo nalo ni UGONJWA ambao unakukabili kwa sasa....Unaoitwa UKOVI.....(ukosefu wa viroba)....Hivi kwa akili yako kabsa kati ya wewe na Magufuli nani mwenye full information na nchi hii??....Yeye si mpuuzi kusema hivyo
Sasa wewe ndio unasumbuliwa na ugonjwa wa UBA yaani: Uelekeo wa Bashite.
 
Kweli kama mh,raisi anataka nchi isonge inabidi kiwanda cha mutex mwatex, sungura TeX na vingine vianze KAZI kwani vinatoa ajira nyingi kuanzia kwa mkulima hadi mtumishi wa kawaida, pia ajitahidi kuweka vyuo sehem mbalimbali hivo pia vinachangamsha mji na biashara pia, mfano hapa musoma mji haukui unazidi kurudi nyuma kwan hamna vyuo viwanda, ila tunapongeza hospital ya kwangwa mjini musoma ya rufaa ikiisha na pakajengwa chuo kikubwa mji pengine utachangamka
 
Tatzo kubwa ulilo nalo ni UGONJWA ambao unakukabili kwa sasa....Unaoitwa UKOVI.....(ukosefu wa viroba)....Hivi kwa akili yako kabsa kati ya wewe na Magufuli nani mwenye full information na nchi hii??....Yeye si mpuuzi kusema hivyo
Nadhani wewe ndo una UKOVI
Ulitakiwa kutaja walau vichache kati ya hivo vingi jamaa alivouliza, nini kusema kusema si unasema tu hata mi naweza kusema uchumi wetu umekua kwa asilimia 100.....jibu hoja povu kafulie
 
SERIKALI IMEJENGA KIPI KWENYE HIVYO
Serikali haijengi inawezesha serikali ilijitoa kufanya biashara siku nyingi kama unatarajia kuona KIWANDA CHA SIMENTI CHA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA utasubiri karne nyingi.
 
Mkuu ukipata orodha ya hivyo viwanda nami pia unijuze...kuna uwezekano mkubwa sana ata mafundi baiskeri na boda boda wamehesabiwa kama viwanda
 
Back
Top Bottom