Kanisa linaongozwa na Mungu, kwa hiyo km alikubali wito wa kutooa amevunja makubaliaono yake na Mungu na wala c kanisa katoliki. kimsingi dhambi inawaathiri wanadamu na padri c Mungu ila ni mwanadamu.
Waache wakristo na imani yao kila dini ina mafundisho potofu juu ya dini nyingine kwa hiyo kila MTU ashike chake ucwapotoshe watu kwa mafundisho yako, kama ni mbinguni au peponi itajulikana ck ya mwisho, binafsi cjaona dini yoyote yenye maana zaidi ya upotoshaji tu
ni kwel ndugu, kuna haja ya serikali kuangalia hili suala. mbali na serikali na sisi tusikubali kupandikizwa chuki za kidini kwan zitatuweka pabaya na hatutaweza kufanya mambo yetu kwa uhuru km vita itatokea.sidhan km kuna mwislam au mkristo anayependa vurugu.
kwa maneno hayo sioni ubaya wowote ila tu watu wamepanua maana na maana zipo katika fikra zao tu, wala hakuna ubaya wowote, ashakum/hashakum maana yake ni, "niwie radhi kwa nitakayosema"
aisee tuwe tunabadilishana mawazo jinsi ya kutumia mtandao kwa namna hiyo, haki ya mungu nimeipenda unaweza kunisaidia ili nami niwe naweka vitu vya msingi nilivyo navyo??????????????????, naomba kuwasilisha
"Nyimbo hii itachangia kuharibu kiswahili" naomba mniambie kama ni sahihi kutumia "Nyimbo" katika umoja maana The boss ametumia nyimbo katika uwingi wakati wa kuuelezea wimbo wa hakunaga wa sumalee kwamba utachangia kuharibu lugha ya kiswahili, kwa maelezo niliyoyaweka katika alama za fungua na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.