Udini sasa mpaka kwenye Mapenzi

Udini sasa mpaka kwenye Mapenzi

Wengi hawatak kukubal ukwel huo..

Well suala hapa sio udini na ndoa,suala ni pale mtu anaojibiwa majibu kama mm sipend wakristo coz ni wala nguruwe.,au mimi d
siwapend waislam coz ni wakatiri..hizo ndio hoja..lakin suala la ndoa ni lingine..
 
haya mambo yalikuepo toka miaka sioni kinachofanya sasa kuingiza chuki ni nini mtoa mada kasome historia hata ya makabila kulikua na sehemu huezi oa mtu asiyetoka kabila lako..:.tunapenda kukuza mambo sababu hatupendi hata kusoma na kujua ukeli tunapenda kuropoka na story za kitaa kama kakuacha si usepe nn kuleta chuki humu.
 
haya mambo yalikuepo toka miaka sioni kinachofanya sasa kuingiza chuki ni nini mtoa mada kasome historia hata ya makabila kulikua na sehemu huezi oa mtu asiyetoka kabila lako..:.tunapenda kukuza mambo sababu hatupendi hata kusoma na kujua ukeli tunapenda kuropoka na story za kitaa kama kakuacha si usepe nn kuleta chuki humu.

Hujaelewa mada huruhusiwi kuchangia..
 
Mwislam ma mkiristo wapi na wapi? Hata kama baba yako anaishi-nasema wanaishi na si kuoana kwa sababu kuna mmoja ni kafli na hatambuliki kwa waislam-haiwezekani kabisa kakangu tena ni hatari. Zama za giza acha zipite.
Matatizo mengi sana tunajitakia wenyewe, kama una akili timamu na ukagundua ni vyema kuahirisha kuliko kuja kusema ningelijua. Nampongeza huyo mdada kwa asilimia zote. Sasa hivi ulimwengu unabadilika kwa kasi sana. TAKE CARE KABISA.
 
Kikweteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kaleta haya madudu na hata mie sasa kutokana na jinsi hawa wadudu walivyofanya kuuwa Watumishi wa Mungu kuchoma makanisa sina haja ya kuwa na girlfriend wa Kiislam japokuwa b4 nilikuwa nao wengi tu,hata hivyo kuanzia b4 sijakuwa na ndoto ya kuowa dem wa kiislam kwa kuwa sijataka kuanza ati aanze kufundishwa nini Ukristo unasemaje lakini hii yote sio kwamba nilikuwa siwapendi waislamu no.Nilipaanga kuwa na Mkristo mwenzangu kwani tuanfahamu nini kinachoendelea kwani nikimwambia fungua Bible sehemu flani ni fast kwani we know we have learn how to read Bible kuanzai tuko Sundayschool so kwa ushauri tu kila mtu aoe mtu wa dini yake ili chokochoko zipungue kama ni mambo mengine hayo hayana noma tutakuwa wamoja bila shida yoyote.Kwa mtazamo wangu hii kitu mwisho wake utakuwa 2015 baada ya hawa Mbwa Maccm kutoka kwani wao ndio wameanzisha hii madudu ya kutenga wananchi kwa kutumia Bakwata na leo hii wanamshikilia Ponda kwa kuwa yeye anasema ukweli kuhusu Bakwata inavyotumiwa na Maccm.So hawa wakitoka tu basi hakutakuwa na udini tena kila kitu kitakuwa poa.
 
Mimi binafsi ni mkristo na siwezi kuoa mtu asiye wa imani yangu hata niwe nmempenda kiasi gani.
Kuna jamaa yangu pia alitoswa na mchumba wake kisa alitaka kumbadili dini awe muislamu na wafunge ndoa,binafsi nilfurahi sana.Mi naona bora kila mmoja aoe/kuolewa na mtu wa imani yake.
Otherwise,kuwepo na makubaliano baina ya wawil na siyo kulazimishana.
 
hivi viongozi wa dini wana role gani hapo? mnawapa mzigo tu hawa jamaa, issue ipo kwa wana siasa wenyewe, ni maoni yangu tu
Ni kweli Georgina. Viongozi wakuu wa dini wanapaswa wakae meza moja waondoe tofauti za dini wakiishirikisha serikali.
Hata hivyo huyo dada kimeo.
 
Last edited by a moderator:
Mwislam ma mkiristo wapi na wapi? Hata kama baba yako anaishi-nasema wanaishi na si kuoana kwa sababu kuna mmoja ni kafli na hatambuliki kwa waislam-haiwezekani kabisa kakangu tena ni hatari. Zama za giza acha zipite.
Matatizo mengi sana tunajitakia wenyewe, kama una akili timamu na ukagundua ni vyema kuahirisha kuliko kuja kusema ningelijua. Nampongeza huyo mdada kwa asilimia zote. Sasa hivi ulimwengu unabadilika kwa kasi sana. TAKE CARE KABISA.
hapa mnaongelea udini au mapenzi?
 
Mimi huwa sielewi inawezekanaje muislam kumuoa mkristo ambaye hakulelewa akijua kuwa kuna suala la kushea dushelele. Mwanamke mwenye kiherehere kiasi cha kuolewa na muislam wakati yeye si muislam huishia kuleta kichefuchefu tu huko mbeleni.

Tuache kujifanya wehu ubongo tukauacha nyuma na kufikiri kwa kutumia viuno. Dini ni imani, na hizi imani tuchanganye shule, mtaani, kwenye timu n.k lkn sio kwenye ndoa
 
Kwa hapa tulipofikia .. Ni ishara tosha kwamba huko tuendeko mahusiano au familia za mchanganyiko wa dini hizi inaweza isiwe kitu rahisi kama ilivyokuwa awali.

Kwa hyo ni bora kila mtu achukie tahadhari.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
hivi viongozi wa dini wana role gani hapo? mnawapa mzigo tu hawa jamaa, issue ipo kwa wana siasa wenyewe, ni maoni yangu tu

bongo bwana....

Kuny.a wanye wanasiasa... kuzoa wazoe viongozi wa dini ......
 
  • Thanks
Reactions: bdo
Well suala hapa sio udini na ndoa,suala ni pale mtu anaojibiwa majibu kama mm sipend wakristo coz ni wala nguruwe.,au mimi d
siwapend waislam coz ni wakatiri..hizo ndio hoja..lakin suala la ndoa ni lingine..

nicas,haya mambo bhana yashaharibika,,sasa hvi sio kuziba ufa,ni kujenga ukuta,
 
dini muhimu meeen mambo ya kwenda kuitwa jasmini na mimi ni ... siwezi
nampenda Yesu kuliko chochote
wacha nikose mume kuliko niachane na Yesu wangu
 
ni kwel ndugu, kuna haja ya serikali kuangalia hili suala. mbali na serikali na sisi tusikubali kupandikizwa chuki za kidini kwan zitatuweka pabaya na hatutaweza kufanya mambo yetu kwa uhuru km vita itatokea.sidhan km kuna mwislam au mkristo anayependa vurugu.
 
dini ni kitu muhimu sana cha kuzingatia katika mahusiano,tunaweza ona kama jambo la kawaida lakin mwisho wa siku linaleta hatar kikubwa tafuta wa iman yako tu
 
dini ni kitu muhimu sana cha kuzingatia katika mahusiano,tunaweza ona kama jambo la kawaida lakin mwisho wa siku linaleta hatar kikubwa tafuta wa iman yako tu

Safi sana mkuu. Wakumbushe pia majuto ni babu/bibi
 
Back
Top Bottom