Jifunze English tenses kwa Kiswahili

Josêph M Mike;10713841 said:
Na nikisema:
(a) "I came but I did not found you"
Nikiwa namaanisha kuelezea mda ambao umepita yaan:
found = si-ku-ku-kuta.

(b) "I came and I did not found you"
Nikiwa na maana ya kuonyesha uwezekano wa kuwepo kiunganishi/bridge/conjunction katika sentenc hyo:
"...came-and-I did not... = nilikuja-na-sikukukuta".

Ni Mchango wangu Wakuu. Tuendeleeni.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Ukiisha tumia did huruhusiwi kubadili tena verb kwenda ktk past tense..
 
Josêph M Mike;10713841 said:
Na nikisema:
(a) "I came but I did not found you"
Nikiwa namaanisha kuelezea mda ambao umepita yaan:
found = si-ku-ku-kuta.

(b) "I came and I did not found you"
Nikiwa na maana ya kuonyesha uwezekano wa kuwepo kiunganishi/bridge/conjunction katika sentenc hyo:
"...came-and-I did not... = nilikuja-na-sikukukuta".

Ni Mchango wangu Wakuu. Tuendeleeni.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Hakuna did no found you ila kuna did not find you.....na hayo ndio makosa ya tense aliyoyasema mtoa mada
 
Tatizo kubwa lipo katika kuongeza -s, -es na -ies. Kwamba mwanafunzi ataongozwa na nini ili kujua kwamba sasa aweke ipi kati ya hizo? mfano Play mwanafunzi anaweza kuweka Playes, au playies wakati au ni kwanini atoe Y kwenye neno CRY ili apate CRIES. Kwa ujumla ni kazi sana. Ni lazima kuwe na maelezo ya kuonesha kuwa ni Verbs za sifa gani ambazo mwanafunzi ataongeza S tu na zenye sifa zipi ataongeza ES hali kadhalika zipi za kuweka IES. Bila kufafanua makundi hayo matatu ya VERBS (vitenzi) itakuwa kazi sana. Ni shida! Vilele kuna baadhi maneno ambayo lazima u-drop herufi ya mwisho ili kuongeza ies hasa yale yanayoishia na Y mfano FLY na CRY. Mfano mwanafunzi anaweza kutaka kujua kwanini kwenye CRY au FLY unatakiwa u-drop Y na kuongeza IES lakini kwenye PLAY hau-drop Y baadala yake unaongeza tu S. Nafikiri pia kuna haja ya kushughulika na VERB CATEGORIES

Tense hii ni rahisi zaidi kwa mwanafunzi kuelewa na mwalimu kufundisha hasa inapotumika nafsi ya kwanza Umoja "I" na zile za uwingi yaani YOU(hii ni both 2nd person singular and plural), we, they au unapotaja majina ya watu wawili kwa pamoja

Ktk kundi la maneno yanayoishia na y ndio kuna mawili

1.kutoa y na kuweka ies na hii ni kama herufi inayomtangulia y ni konsonati na sio irabu...mfano r kwenye cry ni konsonati.

2.kuongeza s ktk y ni kama herufi inayomtangulia y ktk hiyo verb ni irabu au wao wanaita vowel nadhani. Mfano ni neno play,a ni irabu ndomana tunaweka inakua plays na sio plaies.
 
Ktk kundi la maneno yanayoishia na y ndio kuna mawili

1.kutoa y na kuweka ies na hii ni kama herufi inayomtangulia y ni konsonati na sio irabu...mfano r kwenye cry ni konsonati.

2.kuongeza s ktk y ni kama herufi inayomtangulia y ktk hiyo verb ni irabu au wao wanaita vowel nadhani. Mfano ni neno play,a ni irabu ndomana tunaweka inakua plays na sio plaies.
Nimekusoma mkuu
 
mh. Mobile hongera japo nimemis masomo yako, tafadhali rejea haraka jukwaani kwani nina yangu mengi kukueleza!

#Naomba muyapeleke hayo maneno hapo juu kwa kiingereza#
mh. Mobile hongera japo nimemis masomo yako, tafadhali rejea haraka jukwaani kwani nina yangu mengi kukueleza!
Let me tyy.....
Hon. Mobile congratulations even though I do miss your lessons, please come back soon over here for I have a lot to tell you...
cc JITA MOBILE SCHOOL Alphanetcom
 
Last edited by a moderator:
Let me tyy.....
Hon. Mobile congratulations even though I do miss your lessons, please come back soon over here for I have a lot to tell you...
cc JITA MOBILE SCHOOL Alphanetcom

You have tried your level best #LORDVILLE though kuna minor mistake katika upangaji wa sentence. Pia na mtoa kazi naye hajaweka sentence zake katika mpangilio unaoeleweka.

#Inavostahili_kuwa_kulingana_na_alivoandika_mwenyewe .
Congratulations Hon. MOBILE, though i miss your lessons. Please come back over here soon, as i have alot to tell you.

YEYE KAANDIKA KAMA IFUATAVYO,
Hon, MOBILE hongera #japo (hili neno halikustahili liwepo apa) #nimemis (hili sio neno la kiswahili) masomo yako. Tafadhali rejea haraka jukwaani kwani nina yangu mengi kukueleza. (kati ya neno mengi na kukueleza ilitakiwa aweke kiunganishi. (ya)

#USAHIHI KISW:-
Hongera mheshimiwa MOBILE, nimeyakumbuka masomo yako tafadhali rejea jukwaani haraka kwani nina yangu mengi ya kukueleza!

ENG-:
Congratulations Hon. MOBILE, i miss your lessons please come back over here soon, as i have a lot to tell you.

Hivi vifungu vyote viwili vinaleta maana hata mtu anavosoma anajua mwandishi alikuwa na maana flani. #Kumbuka_kuwa_katika_sentence_yeyote_unaweza_ongeza_neno_moja_tu_likatoa_au_kubadilia_maana_ya_sentence_nzima.

To err is a human.... Penye mapungufu mtanisaidia as we know that , no one is perfect!.

Well shared......!!!
 
Last edited by a moderator:
[h=1]PRONOUNS (VIWAKILISHI)[/h] Pronoun ni neno linalotumika badala ya noun (jina). Kwa maneno mengine ni neno linalowakilisha noun (jina).
Pronouns zipo za aina nyingi kama zifuatazo;
PERSONAL PRONOUN
Hizi ni; Ø I………………mimi Ø You ………..wewe
Ø He……………yeye (mvulana/ mwanaume)
Ø She…………..yeye (msichana/ wanamke)
Ø It………………yeye(mnyama/chenyewe/kisicho na uhai)
Ø We…………….sisi Ø They…………wao NB: Hizi hutumika kama subject (hukaa mwanzoni mwa sentensi) Tazama mifano; · My name is David. I am the youngest in the family. · This is my father. He is a teacher. · This is my mother. She is a lawyer. · I have a brother and two sisters. · They are Peter, Sharon and Jenny. · I have a dog. It is called Lucky. · Lucky, you are a good dog. · Good morning, children! You may sit down now. · My family and I live in a big city. We have an apartment Personal pronouns zingine ni; Me, Him, Her, It, Us na them Hizi hutumika kama object (kinachotendewa) Tazama mifano; · I am standing on my head. Look at me.
· My mother is kind. Everybody likes her.
· Lisa, I told you to tidy your bed!
Subject Object · I --------------------------------- me · you ------------------------------you · he --------------------------------him · she -------------------------------her · it ----------------------------------it · we --------------------------------us · you -------------------------------you · they ------------------------------them
REFLEXIVE PRONOUNS
Hizi ni pronouns zinazomrejelea mtendaji. Nazo ni hizi zifuatazo; Myself, Himself, Herself, Itself, Ourselves, Yourselves, na Themselves Tazama mifano; · I made this cake myself.
· Be careful with the knife. You'll cut yourself.
· Michael is looking at himself in the mirror.
INTERROGATIVE PRONOUNS
Hizi ni pronouns zinazotumika katika kuuliza. Pronouns hizo ni kama who, whom, whose, what na which. Tazama mifano; Ø Who is talking? Ø Whom are you dancing with? Ø Whose pen is this? Ø What is your name? Ø Which book did you read?
DEMONSTRATIVE PRONOUNS
Hizi ni pronouns za kuonesha. Nazo ni kama This, These, That na Those. Ø Utatumia This kama unaonesha kitu kimoja kilicho karibu nawe au kukigusa. Ø Utatumia These kama unaonesha vitu vingi vilivyokaribu nawe au ukiwa umevigusa. Ø Utatumia That kuonesha kitu kimoja kilicho mbali nawe Ø Utatumia Those kuonesha vitu vingi vilivyo mbali nawe. Tazama mifano; Ø This is my house. Ø This is a hill. Ø These are donkeys. Ø What is this? Ø That is John's house. Ø That is a mountain. Ø Those are horses. Ø What are those? Ø We can do better than that.

NB: HIKI NI KITABU CHA PILI BAADA YA KILE CHA TENSE, HIKI NI CHA GRAMMAR.....

Nawashukuru wote mnaoendelea kuchukua copy zenu za vitabu... mlioko Dar, soon vitawafikia....endeleeni kuweka ODA.
 
Na kwa yeyote anayependa kujifunza tenses kwa urahisi usisite kunitafuta kwa 0764911095 ili January 2015 ujipatie kitabu chenye kanuni bora.
Mfn:-SIMPLE PRESENT TENSE =SUBJECT + VERB BASE/(S/ES/IES)
Whereby; subject can be pro/noun
 
Hakuna did no found you ila kuna did not find you.....na hayo ndio makosa ya tense aliyoyasema mtoa mada
Hayo no makosa ya kawaida ktk kiingereza, common mistakes, kugundua hilo linahitaji kuwa mfuatiliaji wa tenses
 
Naona hili ungefanya kuwa jukwaa la Bongo Fleva maana wao ndio wanaopenda kuchomeka maneno ya kiingereza kwa kila walisemalo huku wakichapia lugha za watu.
 
Back
Top Bottom