Sito sahau alivyo niambia nitkupnda kwa shida na rha mwanaume mwengine sitamani
wewe ndio chaguo langu, ila mwisho wa siku kawekwa ndani na mtu mwingine nimebaki
kama nilvyo.
Uwa atumlazimishi mtu kunywa damu ila sisi tnapnda tu wenyewe coz tuna dumisha mila
na kuhusu dada yako kunywa mbege sio mbaya coz ni pombe ya asili yetu halafu ni wa kwetu
huyo sio wenu tena mkeku..............:A S-baby::music:(KISUSIO KITAMU SNAAAAA)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.