Papaa Tony
Member
- Aug 21, 2013
- 65
- 48
Habari zenu wana JF.
Hii ni mara yangu ya kwanza kuomba ushauri kwawana jamvi.
Natokea mkoani mara. Kinachonitatiza ni kwamba, nina mpenzi ambae tumedumu nae kwa muda mrefu sasa lakini kuna kipindi tulipotezana kwamuda wa miaka mitatu.
Nahii ni baada ya yeye kuhamishwa shule na kwenda kusomea sehemu ambayo sikuijua. Kwao ni shy-town na mm ni mara. tulikutana shuleni na kuanzisha mahusiano.
kwakweli nilimpenda sana na hata alipokua akiondoka aliniahidi ipo siku tutakutana.
Tatizo linakuja baada ya kumaliza masomo. nilijitahidi kumtafuta na mwisho nilimpata tena.
Nilimuuliza kama anampenzi akaniambia alimpata lakini anamzingua. niliumia sana lakini akaniahidi kua hatarudia kunisaliti.
Sasa yapata mwezi na siku kadhaa nikimpigia simu inakua bize muda mwingi na ninapompata ananiambia nisubiri ana kazi atanitafuta. hakuna siku anayonitafuta na nikirudia kumpigia anakua mkali sana nakuniambia kama simuamini nitafute mwingine nawakati huo nikimuudhi analalamika na kuniambia simpendi. NIFANYEJE? naomba ushauri
Hii ni mara yangu ya kwanza kuomba ushauri kwawana jamvi.
Natokea mkoani mara. Kinachonitatiza ni kwamba, nina mpenzi ambae tumedumu nae kwa muda mrefu sasa lakini kuna kipindi tulipotezana kwamuda wa miaka mitatu.
Nahii ni baada ya yeye kuhamishwa shule na kwenda kusomea sehemu ambayo sikuijua. Kwao ni shy-town na mm ni mara. tulikutana shuleni na kuanzisha mahusiano.
kwakweli nilimpenda sana na hata alipokua akiondoka aliniahidi ipo siku tutakutana.
Tatizo linakuja baada ya kumaliza masomo. nilijitahidi kumtafuta na mwisho nilimpata tena.
Nilimuuliza kama anampenzi akaniambia alimpata lakini anamzingua. niliumia sana lakini akaniahidi kua hatarudia kunisaliti.
Sasa yapata mwezi na siku kadhaa nikimpigia simu inakua bize muda mwingi na ninapompata ananiambia nisubiri ana kazi atanitafuta. hakuna siku anayonitafuta na nikirudia kumpigia anakua mkali sana nakuniambia kama simuamini nitafute mwingine nawakati huo nikimuudhi analalamika na kuniambia simpendi. NIFANYEJE? naomba ushauri