Mwanaume kukata kiuno hii ikojee?

Mwanaume kukata kiuno hii ikojee?

Si mpaka nikubali..!!! na hii dhana niliyonayo ya kuwa wachaga wanalalaga kama gogo ndo kabisaaaaaa..... Nilishakuwa na mmoja, alilala kama kafa hadi nikaogopa..... Eti baada kumaliza akaniambia ulichotaka si umepata, haya mi naodoka sasa... Yaani wakati huo mi ndo nasikilizia mkojo wa mwisho mwisho... Khaaaaaa

Ile nyie mnaotaka mashindano huwaga mnajiondowaga 'uchaga' kwa muda ili tu kuonyesha hamna ugogo, ila mkipigishwa kwata ndefu huwa hamkawii kuanza kuonyesha uchaga, maana mnakuwaga hoi bin taabani

NB: labda kama ni mchaga uliyekulia umakondeni

hey u men!!!!!!!
Nadhan hujakutana na kichwa cha kichaga wew tatizo bado mko na perspectives za analojia hebu badilikeni mambo yamechange saiv
 
Umuhimu upo hivi
1. Ili mtu aweze ku-feel sensasion wakati wa kugegedana linahitajika joto na msuguano
2. Msuguano unapatikana kwa uume kugusa kuta za uke. Sasa kama uke ni mkubwa kuliko uume (kibamia), msuguano unakuwa kama haupo kwa kiasi hitajika.
3. mnapokata mauno wote wawili, uwezekano wa msuguano unakuwa mkubwa sana, na hivyo kupelekea ile feel ya sensasion kuwa kubwa na hatimaye mtu ku-enjoy. Kutest hili, fanya hivi jamaa akiingiza wewe tulia na yeye atulie halafu muone kama mtaona raha ya kugegedana


heheheee nimekusoma barabara
 
Wana MMU habari zenu.
Nijulishen ulazima au umuhimu wa mwanaume kukata kiuno kwenye game . Mim binafsi naona anazingua na kuniondolea mood in short nakereka kwa kweli

Ingia youtube kisha tafuta video za mombasa raha ujifunze na kutambua kama ni sawa au lah!
 
Wana MMU habari zenu.
Nijulishen ulazima au umuhimu wa mwanaume kukata kiuno kwenye game . Mim binafsi naona anazingua na kuniondolea mood in short nakereka kwa kweli
Kukata kiuno is a GOOD thing hata mimi nakata sana kiuno na mamito anapenda sana,I think the problem is on how you sway your waist,sio kukata tu kama unacheza ngoma za kienyeji hapo ni lazima utakuwa unamboa mwenzio,if you need technique on how to do it better pm me pls.
 
Kukata kiuno is a GOOD thing hata mimi nakata sana kiuno na mamito anapenda sana,I think the problem is on how you sway your waist,sio kukata tu kama unacheza ngoma za kienyeji hapo ni lazima utakuwa unamboa mwenzio,if you need technique on how to do it better pm me pls.

bas sawa nimekusoma vilivyo
 
muongo tena utachapiwa tu ujipe moyo kwa kuifanya siri ya ndanii.

wee mwanaume anapump tuu acha izo rudi jandoo broo uka update file lako ilo.

haaa hivi obsesd tuna nini mimi na wewe mbona nakusubiri hufiki:A S-confused1:
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana wewe ujui kukata kiuno ndio maana unaona ana kushinda pole sna.
 
kukata kiuno kwa mwaume ni dalili mbaya.unachotakiwa mwanume ni up then down
 
ni nini hasa au mimi ndio sijui mambo??? Eti

Swaiba, kabla ya kukujibu je wewe mwenyewe panga boi unazungusha kisawasawa? Osijek ikawa jamaa anacheza beki na wakati huo huo an atakuwa ashambulie!
 
Back
Top Bottom