- Thread starter
- #161
rudia tena kaka usikubali kirahisi hivyo atakutangazia vibaya............!!!!!!!!!!!
:yo:
ushauri wako nitaufikiria broo
rudia tena kaka usikubali kirahisi hivyo atakutangazia vibaya............!!!!!!!!!!!
:yo:
kwako huna kideo? eti akaniwashia kideo kuanzia saa 10 mpaka saa 2 usiku! ulivyoona kideo kimewashwa ukajua umewashiwa wewe, na kwa vile kwako hakipo ukakitumbulia macho hata kurudi kwako hukumbuki, ulitaka akufukuze, kwanza shukru huyo dada ni msitaraabu ningekuwa mimi nakuambia toka nikusindikize unatoka tu nafunga malango nalala utajua mwenyewe uende au unilinde hapo nje mpaka asubuhi. Vijana wengine ziro brain kabisa unaenda kwa mtu unakaa mpaka ufukuzwe, eti vijana hawa ndo taifa la kesho, sipati picha hivi kesho taifa litakuwaje! natamani ungenisindikiza mimi ungelijua jiji
Inawezekana mimi mwenyewe tarehe 2 mwezi huu nilikuwa kwenye situation kama yako.
Yaani sijui kwa nini bahati kama hizi huwa sizipati mimi?
Duhhhh aiseeee ningeshika japo ziwa usiku tu.
Nipe namba yake
Nilitoka dar saa sita mchana na gari la upendo kwenda Iringa. Nilifika Iringa mjini saa tatu usiku. Nilikuwa na lengo la kuunganisha safari ili kufika Njombe siku hiyo ya tarehe 2 ili tarehe 3 niwahi appointment ya mhimu katika maisha ya utafutaji. Nilipofika Iring gari za kwenda njombe hazikuwepo nikampigia simu akaja kunipokea. Ulipofika mda wa kulala nikamuuliza mimi nitalala wapi akaniambia tutalala wote. Ikawa hivyo tukalala pamoja kila mtu na shuka lake mpaka asubuhi.
Duu hii kali mi cwezi kbsa nlale mpk asbhi hlfu jnci tofauti bila naniiiiiiiiiiiiii umekwisha mjmba.
hyo kawaida sana jaman tatizo watu 2shakuwa na mawazo potofu ktk swala hilo
ishu ni kwamba kama wote mlikuwa hamna hisia zozote za kimapenz hakuna shda bt kama mlikuwa mnatamaniana huhu uuu hapo lazma kipigwe
angalizo mm ni mwanaume nilie kamilika kila idara
tatizo lako sio mwanaume ungekuwa mwanaume usingesema hivyo,huyo jamaa anahitaji pongezi za hali ya juuhyo kawaida sana jaman tatizo watu 2shakuwa na mawazo potofu ktk swala hilo
ishu ni kwamba kama wote mlikuwa hamna hisia zozote za kimapenz hakuna shda bt kama mlikuwa mnatamaniana huhu uuu hapo lazma kipigwe
Mmhhh hayaa banaa na siku nyingine jaribu tenaa
What's ua point friend? Please help me.
Sawa mkuu 6alfabet. Nimekupatapoint nimesha onekana sina mana eti kwann nilimuacha