Anaandika Askofu Benson Bagonza
Jizoeze kuvuta pumzi na kufikiri. Hii itakusaidia kujisikiliza kabla hujategemea kusikilizwa na unaowahutubia. Uwezo wa kujisikiliza hukuwezesha kutambua kweli hizi:
1. Haki na madaraka ya kumpiga mtu haimwondelei mtu huyo haki ya kulia. Kwa hiyo kumchapa mtu...
Nilimsikia juzi boss wa Tanroad akisema "Hakuna kitu rahisi kama kutengeneza road signs kwenye tenda tunawaambia wakandarasi wajaze kibao road sign moja Tsh 500,000 akimika 20 Fedha tunapata. Kwahiyo signs hizi hata kama ni km 5 tunaweka za kutosha.
Kwaupande wa matuta Kuna habari zinadai...
Nilikuwa naongea na mtu wangu wa ndani,akanimbia kila kosa traffic anapewa 7,000.Ndiyo maana traffic wanapiga faini kwa kwenda mbele.Ninachoofia jamii ikichoka ,moto utakaolipuka kuzima hakutakuwepo.Amani tunayoihubiri itageuka Somalia au Libya.Mungu atupe maisha naona siku zinakaribia
Tukiangalia parade za Korea kasikazini utapenda.Ukiangalia wanajeshi utatamani.
Mimi kwa miaka mingi sioni mapya kwenye jeshi lenu.Gwalide ni lile la mwaka 47,kuvunja matofari ni kitu cha kawaida.Au macho yangu hayaoni
Mimi sijui kama kuna umuhimu wa kuwa na polisi,kwa sababu ukifikisha shauri polisi umeisha.Trafiki wako barabarani kunyanyasa raia kwa kulipa faini za ujinga.Hivi polisi wanajisikiaje kwenye dunia,maana watanzania nu waoga na mbumbumbu
Polisi wa Tanzania wana roho mbaya sana,trafic kazi kuchukua fedha zetu mpaka tuwe mashetani.Subiri naona haya matukio ni kipele kinaanza kukunwa na Mungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.