Uchumi wa Tanzania ni taxation economy au production economy?

Rofa

Member
Sep 19, 2015
79
126
Kama kila idara ya serikali ni kukusanya fedha, polisi barabarani wako tayari kusababisha ajali lakini wakusanye fedha. Sasa uchumi wa Tz ni upi?
 
Kama kila idara y'all serikali ni kukusanya fedha, polisi barabarani wako tayari kusababisha ajali lakini wakusanye fedha. Sasa uchumi WA Tz ni upi?
Jibu lipo waz mkuu ni Taxation economy....kuna siku walinikamata trafiki mbez kwa yusufu... Jamaa anakomaa nilipe faini 30,000/= eti kwasababu taa ya urembo imevunjika
 
Back
Top Bottom