Mambo masaibone nimeona nawe nikuone mana mm mwenyewe nataka nianzishe kiwanda cha kutengeneza mabati machine naweza nunua pamoja na materials pia.
Jee kwako ni ipi changamoto uliyokutana nayo..
Ni reviews nzuri sana zina Saidia wakulima na wajasiriamali.. Nipo harakati za mwishoni kuingiza Massey furgason pcs 5 za hp 80 na hp 90 recondition ikiwa na planter na jembe lake
Habari kaka nashukuru kwa maelezo yako..
Kwa upande wangu na shauri ungeagiza direct kutoka alibaba Wanazo za kila aina na pia wapi maagent wa kitanzania ambao wapo China wanakusafirishia kwa njia ya salama bila ya shida yoyote,,
Laa kama unahisi itakuwa tabu na nzunguko nenda mnazi mmoja kwenye...
Wadau wangu naombeni msaada wa haya mawe ambayo kimuonekano ni meupe sana na yanameremeta kiasi kwa jina yanaitwa terrazo.
Natafuta soko bei yake ikoje sokoni
Nashkuru kimemeta nimeielewa hiyo concept yako ya kuanzia halmashauri kuomba then kuendelea na procedures nyengine hadi kufikia huko ofisi za madini.. asanteni sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.