Money Bags
Senior Member
- Jun 22, 2012
- 146
- 670
Wasalaam Wakuu
Kama kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni mjasiriamali natamani kuwekeza kwenye mradi wa kupasua mawe na kutoa derivatives i.e. kokoto, chipping na mchanga ulio katika powder / vumbi.
Hivyo nauliza kwa unyenyekevu suppliers wa hizi machines / plants from China na Europe na uwezo wa hyo mitambo ku perform kwa couple of tonnes / hour (sihitaji hizi crasher ndogo nahitaji kwa zile kubwa za plant kabisa)
Mwenye ujuzi na mwenye kuwajua suppliers kwa purpose ya kunipatia quotations za hyo mitambo CIF to Dar Port nitashukuru sana.
Nakaribisha mawazo chanya pia ya topic husika.
Regards.
Kama kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni mjasiriamali natamani kuwekeza kwenye mradi wa kupasua mawe na kutoa derivatives i.e. kokoto, chipping na mchanga ulio katika powder / vumbi.
Hivyo nauliza kwa unyenyekevu suppliers wa hizi machines / plants from China na Europe na uwezo wa hyo mitambo ku perform kwa couple of tonnes / hour (sihitaji hizi crasher ndogo nahitaji kwa zile kubwa za plant kabisa)
Mwenye ujuzi na mwenye kuwajua suppliers kwa purpose ya kunipatia quotations za hyo mitambo CIF to Dar Port nitashukuru sana.
Nakaribisha mawazo chanya pia ya topic husika.
Regards.