ameongeo point ila kuna sehemu ametumia unazi kama hapa kwa maguire huyo mchambuzi ametumia uingereza wa Maguire kumtetea.angalau angesema Maguire ruined ole gunner carrier
kwa tabia ya Ronaldo timu isipotengenezwa kumzunguka yeye hapo ndo ugomvi unapoanzia kwa ila 10hag hajui kama unamchukia ungechukulia haya mambo kawaida tu au unapumzika hadi akitoka then unaendelea na kushabikia timu yako pendwa
Ni kweli timu haijakaa vizuri kushindana lakini kwa shabiki wa maanchester yuko sahihi kuona kuna maendeleo ukilinganisha na msimu uliopita mi naona wako sawa kusifia timu yao siioni kama timu yao ni dhaifu kama wewe unavyoichukulia kucheza mpira mzuri na kupata matokea kwa pamoja sio kitu cha...
Huyo jamaa anaongozwa na chuki hakuna uchambuzi wowote anaofanya anashindwa kutambua msimu wa kwanza wa Arteta baada ya mechi 26 timu yao ilikuwaje na msimu wa kwanza wa ETH amekaa kishabiki zaidi kuliko uhalisia
Hiyo Gerd imenisumbua sana kifua kilikua kinauma sana hata kuvuta hewa ilikua kwa tabu nilihudhuria hospital lkn nililkua napewa dawa za kutuliza tu ambazo ilifikia hatua zikawa hazinipi nafuu kabisa bahati nzuri kuna mtu aliniunganisha na mtu wa tiba mbadala Mwanza akanipa dawa zikanisaidia...
Umachotakiwa kuelewa ni kuwa huo mgodi unaoutoa ulishasimama uzalishaji tangu mwaka 2021 upo kwenye stage ya kufungwa na sio uzalishaji tena sasa sijui unautoa mara ngapi wakati ulishatoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.