Na hivi wamemuondoa Eng. Gabriel sijui kama kuna kitu kitaendelea kwa kweli.Mwenye update ya ujenzi soko kuu la mwanza alete feedback kwa msaada wa photos.
Hofu yangu na mimi ni hiyo tu ni kuhusu miradi je itakamilika??Na hivi wamemuondoa Eng. Gabriel sijui kama kuna kitu kitaendelea kwa kweli.
Malima hamna kitu si huyu huyu alikuwa mkoa wa Mara baadaye Tanga sijawahi kuona mema yake. Na hii tabia ya kuzungusha wakuu wa mikoa wale wale ni aibu sana kwa Taifa. Eng. Gabriel all the best mkuu kazi yako ilionekana.Adam Malima huwa naona kapoa sana. Kwa Mkoa kama wa Mwanza tunahitaji RC mwenye kuweka headlines angalau mara moja au mbili kwa wiki.
Sorry boss,
Around Busenga centerBusenga ni kubwa kiongozi labda ni maeneo yapi unazungumzia maana mimi ni mkazi wa busenga ila kwangu hakujawahi kuwa na mafuriko
Kumbe dude kubwa hivi
Ili dude kumbe lipo hivi me huwa naliangalia nikiwa kwa juu tu kuipata hii view adi huwe kwenye ferry au?
Can you resend it..
mlima umetendewa haki
Hakika hii kitu ikiisha itakimbizana na malaiki beach.mlima umetendewa haki
Imenikumbusha mbali sana niache kwanza.Natamani sana nipate view ya. Chuo cha benki kuu
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Mwanza kuzuri sana asee..ukiwa mwanza unapata tulizo la moyo.
Aiseee Mwanza ni balaa ndugu zangu, Mimi bado nalia na mabarabara tu
Alishoot hii clip ni mdeadlyUkitaka kuinjoy ijaze video kwenye screen ya Simu au laptop yako. Utatamani Urudie rudie kuiangalaia