Recent content by Rich 4rever

  1. Rich 4rever

    Kinachotokea bungeni sasa hivi ni u-huni mtupu- ccm jiangalieni wananchi tunawaona.

    Duh huo ni uswahili sana!!!sema waliowengi ni antschool xo hicho wanachokifanya wanadeserve!!!
  2. Rich 4rever

    Kudhibiti uzito.

    Hivi hazina madhara kweli mana hizi ni afya c za kuzichezea
  3. Rich 4rever

    Ushauri; nyumba ndogo imeathirika mi mzima

    Hilo ni somo mungu anakupnda tenda yampasayo
  4. Rich 4rever

    Kunani Jokate na Nicki wa Pili

    Mambo ya binadamu hayo
  5. Rich 4rever

    Heslb wanachangia umalaya kwa wanafunzi wa vyuo

    Tatizo wanachuo tamaa na mashindano yasiyo na faida yoyote tulieni msome!!
  6. Rich 4rever

    Unafanya nini baada ya kumaliza ku 'DO'?

    Unasikilizia kidogo then unaanzisha round nyingine!!ukichka nikupiga mkogo then story!!
  7. Rich 4rever

    Top 10 Disadvantages Of Marrying A Beautiful Woman...

    N kuwa nae tu then jiamini na ujikubali ucmwoneshe uzaifu wako atautumia kama fimbo!!
  8. Rich 4rever

    Infidelity Investigation

    Ishu ni kumpa kick za nguvu mamsapu hadi anasanda mwenyewe!!hawezi kukucheat!!
  9. Rich 4rever

    Wana JF, ni halali kweli UDOM kuitwa chuo cha kata?

    Jina limekuja baada ya sera ya ujenzi wa shule za kata kupamba moto c kwa maana alisi ya kata!!
  10. Rich 4rever

    Heslb wanachangia umalaya kwa wanafunzi wa vyuo

    Ebu tuchunguze!inawezekana vip bord ipeleke pesa mapema udsm na kuchelesha mist jibu haiwezi kufanya hivyo pesa ilishatoka bord zamani sana kinachotoa ni mchezo mchafu wanaoufanya waasibu wa vyuo vingi hiyo pesa wanaitia katka fixed a/c kwa lengo la kujipatia riba hivyo kadri mda unavyozidi...
  11. Rich 4rever

    Shaban mlacha ni nani udom!!??

    Mara nyingi watu wanonekana wabaya katika kutekeleza majukumu yao huwa ni watu wenye mabadiliko chanya "ukimchekea nyani utayavuna mabua"nawasilisha!!
  12. Rich 4rever

    Unafanya nini baada ya kumaliza ku 'DO'?

    I say tenkque my bby wiz kiss on her breast!!
  13. Rich 4rever

    Msaada - mikataba ya kazi

    Safi sana yani humu ndani tunsishi kama ndugu!!
  14. Rich 4rever

    Mwanaume Ashitakiwa Kwa Kumtoa na Kumfunga Kufuli Mkewe Ukeni

    Duh kateseka sana mama wa watu jaman!!lakini kitu kimoja wakat akiwa mjamzito katika kujifungua manesi hawakuligundua hilo!!(alama zisizo kawaida) na kwa nn huyo mama hakusema mapema basi alipenda hiyo hali!!
  15. Rich 4rever

    Huyu muuaji kwanini sura yake inafichwa!?

    Hii inchi jamani kunamambo inabidi wafanye mahamuzi magumu kwa nn wanakumbatia wahalifu kiasi hiki.kwa jinc hii ni watu wa hali ya chini ndio dhahama za kimahakam halali yao aisee inatia hasira,zaid hako kamchezo ka kutufanyia kiini macho ni mbayaaaaaa!!
Back
Top Bottom