NdiYo, (uwezekano wa kuambukizwa ni chini ya 1% kwa contact moja.). Michubuko au kuwa na vidonda huko sehemu za siri huongeza uwezekano wa kuambukizwa. Pia idadi ya kukutana kimwili na mtu mwenye VVU huongeza uwezekano wa kuambukizwa kama kinga hamtumiii. Sex kinyume na maumbile pia huongeza...
Kwa kuwa ni mzalendo wa kweli angetoa japo njia mbadala za kuhakikisha kuwa ukasanyaji unakaribia au kufikia asilimia 100. Nchi ni yake hii na nimuajiriwa wetu pia.
Ada ya watoto huko shule za English medium tuliwapeleka sasa kina eleweka. Mikopo kila kona mpaka hatukopesheki tena. Hakuna rangi tunaachana kuona. Watu wanauza mashamba , viwanja, nyumba hadi magari.....afanaleki.
Hebu geukieni vyoo tulivyo acha majumbani kwetu, na hasa kule kijijini tulikotoka. Wengi tumekua tukiona choo ni kama shimo la taka ambalo kwa kawaida halihitaji usafi.
Wengi humu tunatoka maeneo ambayo nyumba hazina vyoo. Mtu toka mdogo anajisaidia ziwani, ni wazi hata weza kutumia ipasavyo...
Kwani kuwa mchafu na kuhatarisha jamii kuangamia kwa magonjwa ikiwemo kipindupindu ni halali??
Tumekua wachafu hadi tumeuzoea uchafu na kuona kuwa tukilazimishwa kufanya usafi si halali na ingepaswa kuwepo katika katiba.
Swala la usalama wa raia limefafanuliwa vizuri katika katiba. Usalama ni...
Toxic9, habari hii ina ukweli ndani yake isipokua imekua over exaggerated hadi kupoteza maana halisi ya Somo lenyewe.
Msimuliaji anaonyesha kujua Biochemistry lakini siyo kiviiile.
Everything to much is harmful, the same applies to Caffeine containing drinks. Katika dose ya kawaida caffeine ina...
Mkuu Salary slip sera ipo na inafanya kazi, ingawa inaweza kuwa haifanyi vizuri kwa utendaji wa kibinadamu. Serikali imekua ikigharamia matibabu ya wananchi wake nje na ndani ya nchi toka zamani tu. Wengi hawatangazwi, wanaotangazwa sana ni wale wanao saidiwa na wasamalia ambao wao wakisha...
Mtoto anatakiwa kunyonyeshwa kila baada ya masaa 3 ndani ya masaa 24 na muda wowote akihitaji. Tusijengeane unyanyapaa ili watoto waweze kunyonyeshwa mahali popote mama na mwanae wakiwa na uhitaji....
Turidhike tu na kiwango cha huduma zinazo tolewa katika maeneo yetu kwa kuwa ndicho kiasi tulichoweza kuwekeza kwenye sekta ya afya. Kama tunahitaji walau 15% ya bajeti ya taifa iwekwe kwenye afya na sisi uwezo wetu ni 3% kwanini tutarajie huduma bora...tuvune tunachopanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.