whitehorse
JF-Expert Member
- Aug 29, 2009
- 2,565
- 4,432
Zamani wazazi wangu walikuwa waajiriwa Kwa sasa wameshatangulia mbele za haki (RIP Mama na Baba) walikuwa na mashamba kijijini huko mkoani walikotoka. Walilima kwa kutuma pesa ili kuweka vibarua na Hata kwenda wenyewe wakati wa likizo
Tulikuwa tunasafiri kwenda huko kulima au kufanya chochote kule shambani kufuatana na Msimu tutaofikia
Hatukukosa chakula nyumbani mwetu. Mavuno yalipatikana Sio haba tulishiba mno na kugawa hadi Kwa majirani ule Msimu wa mavuno. Walipofariki wazazi wetu utaratibu ukaishia hapo. hatukukumbuka mashamba wala Msimu wa kilimo tena. Babu na bibi wakafa pia Ndio kabisaa hat sababu za kwenda kijijini kule tukakosa. Sasa huku mjini joto limeanza kushika kasi JPM amebana Hata semina kunduchi beach hamna Leo Mwaka unapiga kati (june) siamini Kama nimekuwa kiumbe wa kutegemea mshahara tu


. Wafanyakazi wa umma jasho linatutoka Jamani kha!
Nimewaza weee Leo Kwenye foleni nimenyanyua simu yangu natafuta angalau ndugu mmoja wa kijijini kuulizia mashamba kiaina Jamani majibu yamenipa majonzi matupu
"baba yenu Mdogo ameuza mashamba mengi kuna mengine amekodisha, Yale mengine ya kule karibu bondeni watu wanalima bure tu tena Kama lile shamba la baba yako nimelima Mimi Kwa kweli nashukuru nimepata Sana Mwaka huu"
Alinijibu ndugu huyo wa kijijini ambaye angalau huwa namrushia hela ya chumvi
Hadi nakata simu nimebaki kufikiria kwenda kuomba angalau ekari mbili za marehemu wazazi wangu Kwa baba Mdogo sijui atanipa




Turudi kulima tu sasa mashamba ya marehemu babu zetu yanalimwa na majirani turudi kuyapokonya tulime tupate chakula mjini hapa tutaadhirika hali ngumu Sana kweli kabisa wanaofaidi Ni wenye hospitali binafsi tu watu wanaumwa wanaenda kutibiwa kila siku biashara zingine hovyo kabisa nasikia Hata guest houses watu hawaendi hawana hela ila








Tulikuwa tunasafiri kwenda huko kulima au kufanya chochote kule shambani kufuatana na Msimu tutaofikia
Hatukukosa chakula nyumbani mwetu. Mavuno yalipatikana Sio haba tulishiba mno na kugawa hadi Kwa majirani ule Msimu wa mavuno. Walipofariki wazazi wetu utaratibu ukaishia hapo. hatukukumbuka mashamba wala Msimu wa kilimo tena. Babu na bibi wakafa pia Ndio kabisaa hat sababu za kwenda kijijini kule tukakosa. Sasa huku mjini joto limeanza kushika kasi JPM amebana Hata semina kunduchi beach hamna Leo Mwaka unapiga kati (june) siamini Kama nimekuwa kiumbe wa kutegemea mshahara tu




Nimewaza weee Leo Kwenye foleni nimenyanyua simu yangu natafuta angalau ndugu mmoja wa kijijini kuulizia mashamba kiaina Jamani majibu yamenipa majonzi matupu
"baba yenu Mdogo ameuza mashamba mengi kuna mengine amekodisha, Yale mengine ya kule karibu bondeni watu wanalima bure tu tena Kama lile shamba la baba yako nimelima Mimi Kwa kweli nashukuru nimepata Sana Mwaka huu"
Alinijibu ndugu huyo wa kijijini ambaye angalau huwa namrushia hela ya chumvi
Hadi nakata simu nimebaki kufikiria kwenda kuomba angalau ekari mbili za marehemu wazazi wangu Kwa baba Mdogo sijui atanipa





Turudi kulima tu sasa mashamba ya marehemu babu zetu yanalimwa na majirani turudi kuyapokonya tulime tupate chakula mjini hapa tutaadhirika hali ngumu Sana kweli kabisa wanaofaidi Ni wenye hospitali binafsi tu watu wanaumwa wanaenda kutibiwa kila siku biashara zingine hovyo kabisa nasikia Hata guest houses watu hawaendi hawana hela ila








