ila hizi tofauti zinachanganya sana ili kupata uelewa japo kidogo, tu refresh back kipindi hikooo cha akina adam(A.S) then tudondoke mdogo mdogo hadi kwakina Abraham/Ibrahim (A.S) hadi tufike kwa Yesu/Issa (A.S) na hadi tufike kwa Muhammad (S.AW). Then tunaweza kupata kapicha hapa kaukweli japo...
hatari sana, nakumbuka maisha ya boarding O level mimi porcket money yangu ilikuwa elfu 20 ila mwamba mmoja alikuwa anapewa mshahara wa baba angu porcket money yake.
Tatizo la chatu akiona chakula tu achezi mbali...yule chatu japo angefukuzwa na imani angerudi tu kuangalia menu yake kama imezubaa apite nayo...nilifahamu hii tabia kipindi mikumi kulikuwa na shughuri ya uchimbaji wa mitaro ya kulaza cable za internet: wakati shughur inaendelea kulikuwa na...
Nakumbuka nilimkataza mama yangu asipige simu usiku wa manane kama hakuna shida youote kwasababu huwa napata mshtuko nikiona simu ya ndugu wa karibu usiku wa manane kwa kuhisi huenda kuna shida au tatizo kubwa limetokea
Ilikuwa ni mjadara mkubwa sana huko south africa ikaonekana haka kasungura hakina maana yoyote ikabidi wakitoe, so kwa sasa ilo sanamu halina ako kasungura sikioni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.