Restarting
Member
- Jan 28, 2020
- 80
- 106
Tushamuambia, haya twendeni barabaraniWatu hawaendi barabarani kwasababu ya CCM kulitumia jeshi la polisi kuwatisha wananchi, na sio vinginevyo, kama unataka kuthibitisha uongo wako Chadema hawana support waambie CCM na mama yenu wasiwatumie kina Mambosasa halafu uone kitakachotokea, unaota ndoto mchana.